Nenda Jota nifikishie salamu kwa Maradona WANASEMA mauti yamevikwa taji dhidi ya dua. Diogo Jota. Watu wamezungumza ya kuzungumza. Wamelia vya kutosha. Mkeo Rute Cardoso hajiwezi baada ya kusikia taarifa yako. Watoto wako hawajui chochote.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi