Kocha kasema ni Mukoko na Mayele tu...afunguka kila kitu
LICHA ya wachezaji wote wa Yanga kuonekana moto wa kuotea mbali lakini Kocha wa viungo wa timu hiyo, ameweka wazi kwamba mastaa wawili wa DR Congo, Mukoko Tonombe na Fiston Mayele ndiyo wako fiti...