Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

3923 results for Mwandishi Wetu :

  1. Manchester United yapanga mikakati kwa Osimhen

    MANCHESTER United inafanya majadiliano ya ndani kuhusu ofa ambayo inaweza kuiandaa kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa Napoli na timu ya taifa ya Nigeria, Victor Osimhen, mwenye umri wa miaka 26.

    TETESI Pict
  2. Donnarumma ashtua mabosi Old Trafford

    MANCHESTER United imepata mzuka baada ya kusikia kwamba kipa wa Paris Saint-Germain, Gianluigi Donnarumma anaweza kupatikana kwa bei ya kutupa.

    KIPA Pict
  3. Winga Cherki katua tunduni Man City

    MANCHESTER City imethibitisha kumsajili kiungo wa Olympique Lyon, Rayan Cherki kwa ada ya Pauni 31 milioni.

    CHEKRY Pict
  4. Chelsea yaacha vifaa Kombe la Dunia

    CHELSEA imepiga chini mastaa wenye thamani ya Pauni 150 milioni katika kikosi chake kitakachokwenda kuchuana kwenye fainali za Kombe la Dunia la Klabu litakalofanyika Marekani mwezi huu.

    CHELSEA Pict
  5. Saka afichua wasiwasi wake wakati akijiuguza

    STAA wa Arsenal, Bukayo Saka amefunguka athari alizokabiliana nazo kimwili na kiakili wakati alipokumbwa na majeraha makubwa yaliyoweka kwenye mashaka makubwa maisha yake ya soka.

    SAKA Pict
  6. Manchester United yatema kibao

    MANCHESTER United imethibitisha itawatema mastaa wake Christian Eriksen, Jonny Evans na Victor Lindelof kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi baada ya mikataba yao kumalizika.

    MAN UTD Pict
  7. He! Mabosi Sporting wamtibua Gyokeres

    STRAIKA wa mabao, Viktor Gyokeres ameripotiwa kuwakasirikia mabosi wa Sporting Lisbon baada ya kufanya mabadiliko kwenye kipengele kinachotaja bei anayouzwa mshambuliaji huyo.

    SPORTING Pict
  8. PRIME Zamalek washusha mzigo Yanga

    NDANI ya wiki chache zijazo, mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize ataweka rekodi mbili kwenye soka la Tanzania endapo dili lake la kucheza nje litakwenda kama lilivyopangwa.

    ZAMALEK Pict
  9. Luka Modric afungua milango kutua AC Milan

    AC Milan imepokea taarifa muhimu kutoka kwa kiungo veterani Luka Modric kwamba milango wazi kwenda kujiunga na miamba hiyo ya Italia.

    TETESI Pict
  10. Ten Hag amtaka Grealish pale kwa Wirtz

    STAA ghali Manchester City, Jack Grealish ameripotiwa kuwekwa kwenye orodha ya wachezaji ambao wanaweza kunaswa ili wakachukue mikoba ya Florian Wirtz huko Bayer Leverkusen.

    TEN Pict
Previous

Page 26 of 393

Next