Mkongwe Brazil aangukiwa ukuta na kufa MCHEZAJI wa zamani wa timu mbalimbali Ulaya aliyewahi kukipiga Europa League, Tassio Maia dos Santos, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 41 baada ya ukuta kuanguka kutokana na upepo mkali wa...
Namba sita mpya Yanga hii hapa YANGA wakati wowote itaweza kumtambulisha kiungo wake mpya mkabaji, Fred Duval Ngoma, baada ya kufikia makubaliano yote ya msingi.
Liverpool njia nyeupe kwa Barcola LIVERPOOL imepiga hatua muhimu katika harakati za kumsajili winga wa Paris Saint-Germain (PSG), Bradley Barcola, baada ya kufikia makubaliano ya awali na nyota huyo wa Ufaransa kuhusu uhamisho wake.
Ubingwa England kaa la moto LIGI Kuu England imezoeleka kuwa na mabingwa wanaotawala kwa muda mrefu, lakini msimu wa 2026-27 unaonekana kuvunja utamaduni huo.
Man United yamgeukia Tchouameni MANCHESTER United inaweza kupata nafasi kubwa ya kumsajili kiungo Aurelien Tchouameni ikiwa Real Madrid itafanikiwa kukamilisha usajili wa Rodri kutoka Manchester City.
Mbappe amkaribisha Zidane kwa ujumbe mzito ENZI mpya zimeanza ndani ya timu ya taifa ya Ufaransa baada ya Shirikisho la Soka la nchi hiyo (FFF) kumtangaza rasmi nguli Zinedine Zidane kuwa kocha mkuu wa Les Bleus, akichukua nafasi ya...
Kisa Welbeck, Alonso afumua safu ya ushambuliaji CHELSEA imeonyesha kubadili kabisa falsafa yake ya usajili baada ya kukaribia kumsajili mshambuliaji mkongwe Danny Welbeck, huku kocha Xabi Alonso akionekana kutaka kuchanganya vijana wenye...
Barcola akubali kutua Liverpool MSHAMBULIAJI wa Paris Saint-Germain na timu ya taifa ya Ufaransa, Bradley Barcola (23), ameripotiwa kukubali kwa maneno kujiunga na Liverpool. Hata hivyo, uhamisho huo bado haujathibitishwa...
Uchaguzi Yanga: Munir na Khimji wafunguka dira zao TUNAENDELEA kumulika Uchaguzi Mkuu wa Yanga, tukiangalia wasifu mbalimbali wa wagombea wa nafasi mbili za urais, makamu wake na wajumbe wa kamati ya utendaji ambao wataingia kuwania nafasi saba...
Mayele aagana na Pyramids FC, atajwa Libya, Saudia Baada ya kuitumikia Pyramids FC kwa miaka imitatu, mshambuliaji Fiston Mayele ameiaga rasmi klabu hiyo huku akishindwa kuweka wazi ni klabu ipi atajiunga nayo.