Kumbe Gabriel alitaka mwenyewe PICHA iliyosambaa zaidi baada ya Arsenal kupoteza fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ilikuwa ya Gabriel akiwa ameshika kichwa kwa mikono huku akifarijiwa na nahodha wa Paris Saint-Germain na...
Wembanyama aipeleka Spurs fainali za NBA Nyota Victor Wembanyama alifunga pointi 22 huku San Antonio Spurs ikiibuka na ushindi wa 111-103 dhidi ya mabingwa watetezi Oklahoma City Thunder na kufuzu kwa fainali za NBA kwa mara ya kwanza...
Aliyekuwa Mwenyekiti Bodi ya MCL, Leonard Clement Mususa afariki dunia Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Leonard Charles Mususa amefariki dunia leo Jumamosi, Mei 30, 2026.
Njia ya Knicks kurejea fainali baada ya miaka 27 BAADA ya kusubiri kwa miaka 27, hatimaye New York Knicks imerejea katika ngazi kubwa zaidi ya mpira wa kikapu duniani, Fainali za NBA.
Mashabiki Arsenal, PSG wazichapa MASHABIKI wa Arsenal wamepigana na wenzao wa PSG katika mitaa ya Budapest, Hungary, kabla ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliyopigwa jana usiku kwenye Uwanja wa Uwanja wa Puskas Arena...
Kutoka ubingwa wa Pele hadi ‘headbutt’ ya Zidane WAKATI fainali za Kombe la Dunia 2026 zikibakiza takriban wiki tatu na ushee, mambo ni moto! Tayari timu za mataifa mbalimbali zinazopigana vikumbo kukiwasha mwaka huu huko Marekani, Canada na...
Rafael Leao airahisishia kazi Manchester United WINGA nyota wa AC Milan, Rafael Leao, ameongeza moto kwenye tetesi za kujiunga na Manchester United baada ya kukiri ndiyo timu anayoipenda zaidi England.
Guler na Alonso wanaendelea kuwasiliana, uhamisho mgumu HATA kabla hajaanza rasmi kazi, kocha mpya wa Chelsea Xabi Alonso anaweza kujikuta matatani iwapo Real Madrid aliyoifundishwa kwa miezi saba na nusu itaamua kumchukulia hatua mahakamani, baada ya...
Arne Slot aondoka Liverpool LIVERPOOL imemfuta kazi kocha Arne Slot, huku Andoni Iraola aliyeachana na Bournemouth mwishoni mwa msimu ulioisha akitajwa kuongoza miongoni mwa wanaotajwa kwenda kuchukua nafasi yake.
Kinda Nigeria hajazikwa, mpenzi, rafiki mbaroni Kifo cha straika wa zamani wa Southampton na Nigeria, Victor Udoh kimeendelea kuzua maswali nchini humo ikiwa ni wiki moja tangu alipofariki dunia.