Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8436 results for Mwandishi Wetu :

  1. Majina makubwa yameondoka, nani kuwa kocha mkuu mpya EPL?

    KWA mashabiki wa soka la England waliyazowea majina ya makocha bora watano waliokuwepo miaka ya karibuni. Lakini, kwa sasa wameondoka. Nani atakuwa kocha mkuu mpya katika Ligi Kuu England?

    KOCHA Pict
  2. Namba za Bruno Guimaraes zinaongea

    Arsenal imekamilisha usajili wa kiungo Bruno Guimaraes kutoka Newcastle United, huku Mikel Arteta akitarajiwa kupata nguvu mpya kwenye eneo la kiungo kuelekea msimu wa 2026/27 na miaka inayofuata.

    BRUNO Pict
  3. PRIME Walikuwa 'bize' na namba sita na kusahau kujiandaa

    Soma zaidi hapa

    PUMZI Pict
  4. Neymar kuwafuata Messi, Suarez

    Nyota wa Brazil, Neymar, 34, anaweza kuachana na Santos mwishoni mwa mwaka huu na kuhamia Inter Miami, ambako anaweza kuungana tena na mastaa wenzake wa zamani wa Barcelona, Lionel Messi na Luis...

    NEYMAR Pict
  5. Vinicius Jr meza moja na Ronaldo

    Real Madrid imeonyesha imani kubwa kwa nyota wake Vinicius Junior baada ya kumsainisha mkataba mpya utakaomfanya aendelee kukitumikia kikosi hicho hadi mwaka 2032.

    VINI Jr Pict
  6. Wapinzani wa Yanga CAF waitaja Simba

    KOCHA wa Gaborone United, Sean Connor, amesema licha ya kufahamu ugumu wa kuikabili Yanga katika hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini kuna mkakati wanauweka kuhakikisha wanavuka...

    CAF Pict
  7. Wamalawi wa Simba CAF wamepania

    KOCHA Mkuu wa Mighty Wanderers, Bob Mpinganjira, amesema droo ngumu ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Simba SC ni fursa kwa timu yake kuonyesha maendeleo iliyofanya katika mashindano ya kimataifa.

    WAMALAWI Pict
  8. Manqoba Mngqithi atuma ujumbe mzito Yanga ikichapwa na Wakongo

    KOCHA Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, amesema licha ya kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Les Aigles Du Congo katika tamasha la Yanga Day, lakini anaamini kikosi chake kina uwezo wa kufanya vizuri...

  9. Man City yakataa ofa ya Barcelona kwa Rodri

    MANCHESTER City imekataa ofa ya awali ya Pauni38.5 milioni kutoka Barcelona kwa ajili ya kiungo wake wa kimataifa wa Hispania, Rodri, huku mabingwa hao wa England wakisisitiza kuwa hawatamuuza...

    FUNUNU Pict
  10. Arsenal yaingia anga za Liverpool

    ARSENAL baada ya kumkosa Vinicius Junior imeanza kuangalia uwezekano wa kumnasa winga wa Paris Saint-Germain, Bradley Barcola, katika hatua ambayo inaweza kuivuruga mipango ya Liverpool ya...

    ARSENAL Pict
Previous

Page 15 of 844

Next