Majina makubwa yameondoka, nani kuwa kocha mkuu mpya EPL? KWA mashabiki wa soka la England waliyazowea majina ya makocha bora watano waliokuwepo miaka ya karibuni. Lakini, kwa sasa wameondoka. Nani atakuwa kocha mkuu mpya katika Ligi Kuu England?
Namba za Bruno Guimaraes zinaongea Arsenal imekamilisha usajili wa kiungo Bruno Guimaraes kutoka Newcastle United, huku Mikel Arteta akitarajiwa kupata nguvu mpya kwenye eneo la kiungo kuelekea msimu wa 2026/27 na miaka inayofuata.
Neymar kuwafuata Messi, Suarez Nyota wa Brazil, Neymar, 34, anaweza kuachana na Santos mwishoni mwa mwaka huu na kuhamia Inter Miami, ambako anaweza kuungana tena na mastaa wenzake wa zamani wa Barcelona, Lionel Messi na Luis...
Vinicius Jr meza moja na Ronaldo Real Madrid imeonyesha imani kubwa kwa nyota wake Vinicius Junior baada ya kumsainisha mkataba mpya utakaomfanya aendelee kukitumikia kikosi hicho hadi mwaka 2032.
Wapinzani wa Yanga CAF waitaja Simba KOCHA wa Gaborone United, Sean Connor, amesema licha ya kufahamu ugumu wa kuikabili Yanga katika hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini kuna mkakati wanauweka kuhakikisha wanavuka...
Wamalawi wa Simba CAF wamepania KOCHA Mkuu wa Mighty Wanderers, Bob Mpinganjira, amesema droo ngumu ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Simba SC ni fursa kwa timu yake kuonyesha maendeleo iliyofanya katika mashindano ya kimataifa.
Manqoba Mngqithi atuma ujumbe mzito Yanga ikichapwa na Wakongo KOCHA Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, amesema licha ya kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Les Aigles Du Congo katika tamasha la Yanga Day, lakini anaamini kikosi chake kina uwezo wa kufanya vizuri...
Man City yakataa ofa ya Barcelona kwa Rodri MANCHESTER City imekataa ofa ya awali ya Pauni38.5 milioni kutoka Barcelona kwa ajili ya kiungo wake wa kimataifa wa Hispania, Rodri, huku mabingwa hao wa England wakisisitiza kuwa hawatamuuza...
Arsenal yaingia anga za Liverpool ARSENAL baada ya kumkosa Vinicius Junior imeanza kuangalia uwezekano wa kumnasa winga wa Paris Saint-Germain, Bradley Barcola, katika hatua ambayo inaweza kuivuruga mipango ya Liverpool ya...