Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

3898 results for Mwandishi Wetu :

  1. Nafasi za Mnguto, Kasongo zajazwa TPLB

    Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepata viongozi wawili wa kukaimu nafasi za Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu ambao Juni 13, 2025 waliondoka katika nafasi hizo kwa sababu tofauti.

  2. Kompyuta yatabiri bingwa EPL 2025/26

    KOMPYUTA ya kisasa imetabiri msimamo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England kwa msimu wa 2025/26 baada ya ratiba zote kutangazwa juzi.

    KOMPYUTA Pict
  3. Winga Chelsea akaribia kifungo

    WINGA wa Chelsea, Mykhailo Mudryk, anakabiliwa na uwezekano wa kufungiwa hadi miaka minne baada ya kushtakiwa rasmi na Chama cha Soka cha England (FA) kuhusu ukiukaji wa kanuni za kupinga...

    WINGA Pict
  4. Trent atoa siri ya Kihispania chake

    BEKI kisiki wa Real Madrid, Trent Alexander-Arnold amefichua alikuwa akijifunza Kihispania kwa ‘miezi kadhaa’ kabla hajajiunga na timu hiyo dirisha hili.

    TRENT Pict
  5. Liverpool yadhamiria kwa Alexander Isak, kuvunja rekodi

    LIVERPOOL iko tayari kuvunja rekodi ya usajili England ili kuinasa saini ya mshambuliaji wa Newcastle na timu ya taifa ya Sweden, Alexander Isak, katika dirisha hili.

    TETESI Pict
  6. Gyokeres awakataa mabosi Sporting Lisbon

    STRAIKA wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres amekataa ombi la kufanya mazungumzo na viongozi wa timu yake huku sakata lake la uhamisho likizidi kuchukua suta mpya.

    GYOKERES Pict
  7. Mashabiki Man United walalamikia tiketi

    MASHABIKI wa Manchester United wamelaani ongezeko jipya la bei za tiketi, wakilielezea ni pigo lingine kali kwao.

    TIKETI Pict
  8. PRIME Wagombea waanza kulia uchaguzi TFF

    SAA 24 kabla ya kufungwa kwa zoezi la kuchukua na kurudia fomu za Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), baadhi ya wagombea waliojitosa katika kinyang'anyiro hicho wameanza kulia kwa...

    UCHAGUZI Pict
  9. Mkali wa Black Panther kuja kufundisha kuogelea

    KOCHA maarufu wa mchezo wa kuogelea duniani, Atiba Hasim-Nii Wade kutoka Marekani anatarajiwa kutua nchini ili kuendesha mafunzo ya mchezo huo kuanzia Juni 27 hadi Julai Mosi.

    BLACK Pict
  10. PRIME Miloud ashindwa kujizuia kwa Pacome

    YANGA imefanya mauaji jijini Mbeya ilipoivuruga Tanzania Prisons kwa mabao 5-0, kisha fasta ikageuka na kurejea Dar es Salaam usiku wa jana ili kujiandaa na safari ya kwenda Zanzibar kuvaana na...

    PACOME Pict
Previous

Page 15 of 390

Next