Mpira wa ‘mkono wa Mungu’ wauza Sh9 bilioni MPIRA uliotumika katika mechi ya robo fainali ya Kombe la Dunia 1986 kati ya Argentina dhidi ya England na Diego Maradona kufunga bao maarufu la ‘Mkono wa Mungu’ umeuzwa kwa pauni2.5 milioni...
Dili la Saudi Arabia laivuruga Aston Villa KOCHA wa Aston Villa, Unai Emery, amedokeza kwa nguvu kwamba mshambuliaji wake Ollie Watkins huenda alikuwa hataki kuichezea timu hiyo, wakati Villa ikipokea kichapo kizito cha mabao 4-0 kutoka...
Mtoto aingia uwanjani, mechi yasimamishwa MECHI kati ya San Jose Earthquakes na Minnesota United ilisimama kwa muda katika dakika za nyongeza baada ya mtoto mdogo kuingia uwanjani na kusababisha tukio la kushangaza.
Haaland aanza kulalamikiwa kwa kukata nywele MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Erling Haaland amekumbana na kejeli kutoka kwa mashabiki baada ya kushindwa kufunga katika ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Bournemouth, huku baadhi wakidai...
Liverpool yanusurika Newcastle, Iraola akiri kuna kazi Liverpool ililazimika kusubiri hadi dakika ya 99 kupata bao la kusawazisha kupitia mkwaju wa penalti wa Dominik Szoboszlai na kuondoka na sare ya mabao 2-2 dhidi ya Newcastle United, katika...
Sakata la Alvarez kuondoka Atletico latibua mashabiki STRAIKA wa Atletico Madrid, Julian Alvarez, amekumbana na wakati mgumu baada ya mashabiki wa klabu hiyo kumzomea vikali katika mchezo wa LaLiga dhidi ya Villarreal uliomalizika kwa sare ya mabao...
Baleba afuzu vipimo, kusaini Man United KIUNGO wa Brighton, Carlos Baleba amefaulu vipimo vya afya na kusaini mkataba wa miaka mitano na Manchester United, ukiwa na kipengele cha kuongeza muda hadi mwaka 2032.
Kipigo cha Kagera Sugar chamuachia maumivu Kaseja Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Juma Kaseja amesema ameumizwa na kipigo cha mabao 6-2, ilichokipata timu yake dhidi ya Geita Gold, lakini akaahidi kurejea mazoezini kutafuta tiba ya upungufu wa...
Barcola, Mbaye ni suala la muda tu Liverpool WACHEZAJI wanaowindwa na Liverpool, Bradley Barcola na Ibrahim Mbaye, wameendelea kuachwa nje ya kikosi cha Paris Saint-Germain (PSG), hali inayozidisha sintofahamu kuhusu hatma yao katika klabu...