Liverpool yadhamiria kwa Alexander Isak, kuvunja rekodi LIVERPOOL iko tayari kuvunja rekodi ya usajili England ili kuinasa saini ya mshambuliaji wa Newcastle na timu ya taifa ya Sweden, Alexander Isak, katika dirisha hili.
Gyokeres awakataa mabosi Sporting Lisbon STRAIKA wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres amekataa ombi la kufanya mazungumzo na viongozi wa timu yake huku sakata lake la uhamisho likizidi kuchukua suta mpya.
Mashabiki Man United walalamikia tiketi MASHABIKI wa Manchester United wamelaani ongezeko jipya la bei za tiketi, wakilielezea ni pigo lingine kali kwao.
PRIME Wagombea waanza kulia uchaguzi TFF SAA 24 kabla ya kufungwa kwa zoezi la kuchukua na kurudia fomu za Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), baadhi ya wagombea waliojitosa katika kinyang'anyiro hicho wameanza kulia kwa...
Mkali wa Black Panther kuja kufundisha kuogelea KOCHA maarufu wa mchezo wa kuogelea duniani, Atiba Hasim-Nii Wade kutoka Marekani anatarajiwa kutua nchini ili kuendesha mafunzo ya mchezo huo kuanzia Juni 27 hadi Julai Mosi.
PRIME Miloud ashindwa kujizuia kwa Pacome YANGA imefanya mauaji jijini Mbeya ilipoivuruga Tanzania Prisons kwa mabao 5-0, kisha fasta ikageuka na kurejea Dar es Salaam usiku wa jana ili kujiandaa na safari ya kwenda Zanzibar kuvaana na...
Ile pyee EPL... Moto huoo Man United na Arsenal IMERUDI tena. Ndicho unachoweza kusema baada ya ratiba mpya ya Ligi Kuu England msimu wa 2025-26 kutangazwa, huku Manchester United na Arsenal zikimenyana kwenye wikiendi ya kwanza kabisa ya...
Rayan Cherki afichua usajili wa Chelsea STAA mpya wa Manchester City, Rayan Cherki amefichua usajili mpya utakaofanywa Chelsea kwenye dirisha hili kwamba watatua Lyon kwenda kunasa huduma ya mchezaji mwenzake wa zamani, Malick Fofana.
Arteta apata pigo, kumpoteza kamanda KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta anaripotiwa kupata pigo baada ya kuripotiwa kwamba atampoteza mtu muhimu kwenye benchi lake la ufundi katika dirisha hili la majira ya kiangazi.
Bosi kubwa Man United afunguka MKURUGENZI Mtendaji Mkuu wa Manchester United, Omar Berrada amefunguka huku akisisitiza miamba hiyo ya Old Trafford itarejea kwenye kilele cha Ligi Kuu England kufikia 2028.