Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1630 results for Daudi Elibahati :

  1. Mke wa Tom Olaba awalilia Watanzania

    KOCHA mkuu wa zamani wa Mtibwa Sugar na Ruvu Shooting za Tanzania, Mkenya Tom Olaba anasumbuliwa na maradhi ya kupooza mwili baada ya kufanyiwa upasuaji wa uti wa mgongo, huku mkewe akiomba...

    OLABA Pict
  2. Mastaa wazawa Azam FC wafunika

    WAKATI Ligi Kuu Bara ikienda ukingoni msimu huu wa 2024-2025, tayari jumla ya mabao 521, yamefungwa ikiwa ni idadi kubwa zaidi tofauti na ya msimu uliopita ambao yalifungwa 517, ikionyesha kasi...

    AZAM FC Pict
  3. Laizer mbioni kurejea Fountain Gate

    TIMU ya Fountain Gate iko katika hatua za mwishoni za kumrejesha aliyekuwa kocha msaidizi wa timu hiyo, Mohammed Ismail ‘Laizer’, huku makocha wa kikosi hicho kwa sasa Khalid Adam na Amri Said...

  4. Ouma: Wale Simba waje tu!

    KOCHA wa Singida Black Stars raia wa Kenya, David Ouma amesema mechi ya kirafiki dhidi ya Yanga imewapa morali wachezaji wakati huu wakijiandaa kucheza na Simba katika mechi mbili za Ligi Kuu...

  5. Chama la Wana, Geita mzigoni upyaaa

    KAMA ulidhani mambo yameisha katika Ligi ya Championship baada ya Mtibwa Sugar kubeba ubingwa na kupanda Ligi Kuu Bara sambamba na Mbeya City, pole yako.

    PLAY OFF Pict
  6. PRIME Turufu ya Mzize na Dube kwa Jean Ahoua

    USHINDANI wa mastaa kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu umezidi kukolea na kusababisha mambo kuzidi kunoga. Lakini kuna kuna linakwenda kutokea kati ya wachezaji watatu mahiri kwenye mashindano hayo...

    AHOUA Pict
  7. Kilichoiangusha Tabora United hiki hapa

    KICHAPO cha bao 1-0, ilichokipata Tabora United dhidi ya KMC FC, Mei 14, 2025, kimeifanya timu hiyo kufikisha mechi sita mfululizo za Ligi Kuu bila ya ushindi, tangu mara ya mwisho ilipoifunga...

    TABORA Pict
  8. Simba, Yanga kwenye ligi ya hat trick

    LIGI Kuu Bara kwa msimu wa 2024-2025, inaenda ukingoni ambapo hadi sasa zimefungwa hat trick nne kutoka kwa wachezaji wa Simba na Yanga kila mmoja wao, ingawa nyota wa timu hizo wamekuwa ni moto...

  9. Kilichomkuta Feitoto Azam FC

    KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’, ameuanza vibaya mwaka huu wa 2025 tofauti na uliopita baada ya kutofunga bao lolote katika Ligi Kuu hadi sasa, licha ya kuasisti mabao...

  10. CAF yampa mzuka Ouma Singida Black Stars

    KOCHA wa Singida Black Stars raia wa Kenya, David Ouma amesema kitendo cha kupata tiketi ya kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao, kwao kama benchi la ufundi, viongozi na...

    OUMA Pict

Page 1 of 163

Next