Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Huu hapa wasifu wa Mbrazil Yanga

Kocha mpya ambaye anatarajiwa kujiunga na Yanga ni raia wa Brazil, Roberto Oliveira anayeinoa Vipers ya Uganda.

Kocha huyo ndiye aliyeifunga Yanga kwenye kilele cha Siku ya Mwananchi jijini Dar es Salaam lakini juzijuzi aliiondosha TP Mazembe nyumbani kwao kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika tena akiipigia mpira mwingi kwa kutumia kikosi chenye thamani ambayo haifikii ile ya Yanga.


WASIFU WA OLIVIERA

Jina: Robertinho Oliveira

Kuzaliwa: 22 Juni 1960,Brazil


Alicheza:

1978–1982: Fluminense (Brazil)

1983: Flamengo (Brazil)

1984: Palmeiras (Brazil)

1985–1986: Flamengo (Brazil)

1987: Internacional (Brazil)

1988: Sport (Brazil)

1989: Atlético Mineiro (Brazil)

1989–1993: Nacional (Ureno)

1994–1995: Grössembacher (Brazil)

Timu ya Taifa: Brazil (1980)


Alikofundisha:

1995: Grössembacher (Brazil)

1995–1997: Rio Branco (Brazil)

1998–1999: Brasil de Pelotas (Brazil)

1999–2000: São Bento (Brazil)

2000–2002: Fluminense (Brazil)

2003: Clube de Regatas Brasil (Brazil)

2003–2004: Centro Sportivo Alagoano (Brazil)

2004: America (Brazil)

2004–2005: Rio Branco (Brazil)

2005–2008: Stade Tunisien (Tunisia)

2008–2009: Kazma (Kuwait)

2009: Al-Shamal (Qatar)

2009–2010: Hammam-Sousse (Tunisia)

2010–2011: Legião (Brazil)

2012–2013: Stade Gabèsien (Tunisia)

2013–2014: Grombalia Sports (Tunisia)

2014–2016: Atlético Sport Aviação (Angola)

2018–2019: Rayon Sports (Rwanda)

2020 -2021: Gor Mahia (Kenya)

2021/22– Vipers