Kigogo Mbeya City atoa angalizo Ligi Kuu ALIYEKUWA Mtendaji Mkuu wa Mbeya City, Emanuel Kimbe, amesema uongozi wa timu hiyo unapaswa kuzingatia ripoti ya benchi la ufundi kuhakikisha makosa yaliyofanyika msimu wa 2025-2026 yasijirudie.