Kambi Zuberi na wenzake 'warudishwa' Kisutu, wasomewa tena kesi ya uhujumu uchumi
MMILIKI wa kituo cha Cambiasso Sport Academy kilichopo Tuangoma Kigamboni, Kambi Zuberi Seif(40) na wenzake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka...