Zari aomba kuonyeshwa mtoto wa Diamond na Zuchu, awapongeza Siku moja baada ya staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, na mkewe Zuchu kutangaza kumpokea mtoto wao wa kwanza, aliyekuwa mpenzi wa Diamond na mama wa watoto wake wawili, Zari Hassan...
Rayon Sports yaifuata Gor Mahia fainali Kagame MIAMBA ya soka la Rwanda, Rayon Sports, imetinga fainali ya Kombe la CECAFA Kagame 2026 baada ya kuichapa Jamus SC ya Sudan Kusini mabao 3-1 katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa kwenye Uwanja...