Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1057 results for Saddam Sadick :

  1. Chama la Wana lawapiga 'stop' mashabiki

    ILI kuhakikisha wanatimiza ndoto ya kurejea Ligi Kuu msimu ujao, Stand United 'Chama la Wana' imepiga marufuku muingiliano wa mashabiki kambini kwa wachezaji, ikiwa ni mkakati wa kuwapa uhuru...

    STAND Pict
  2. Prisons: Fountain? Hawa mbona tunao!

    MATOKEO ya sare ya 1-1 dhidi ya Fountain Gate katika mechi ya kwanza ya mtoano (play off) kuwania kubaki Ligi Kuu imewapa mzuka mabosi wa Tanzania Prisons waliodai mechi haijaisha hiyo na...

    PRISONS Pict
  3. Kiungo Prisons ataja sherehe kuikabili Yanga

    Kiungo wa Tanzania Prisons, Kelvin Sabato amesema mchezo dhidi ya Yanga unaopigwa kesho ni kama sikukuu kwao, akieleza kuwa mechi hiyo siyo ya kutumia nguvu nyingi, bali akili pekee.

    SABATO Pict
  4. Tanzania Prisons washtuka, wajipanga upya

    WAKATI Tanzania Prisons ikijiandaa kuikabili Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, nahodha wa timu hiyo, Jumanne Elfadhil ametahadharisha wenzake kikosini kuwa tayari na historia yao na wapinzani...

    PRISONS Pict
  5. KenGold yaikaushia mechi ya Simba

    LICHA ya kubaki siku kama tano tu kabla ya kuvaana na Simba katika mechi ya kukamilishia ratiba baada ya kushuka mapema daraja, benchi la ufundi la Ken Gold limesema lipo njiapanda kutokana na...

    KENGOLD Pict
  6. Prisons Hesabu kali mechi ya Yanga

    TIZI linaloendelea huko Tanzania Prisons kwa ajili ya mechi ijayo dhidi ya Yanga limempagawisha kocha mkuu wa timu hiyo, Aman Josiah akitamba kuwa kazi ni moja tu kubaki salama Ligi Kuu.

    PRISONS Pict
  7. Chama la Wana latenga mzigo bara

    STAND United ‘Chama la Wana’ imesema baada ya kupenya katika mtoano (play off), ili kupanda Ligi Kuu Bara, kwa sasa ipo tayari kukutana na timu yoyote huku ikitangaza dau nono kwa wachezaji wa...

  8. Mwalwisi aichorea ramani Mbeya Kwanza

    WAKATI Mbeya Kwanza ikiendelea kusota Ligi ya Championship kwa misimu minne sasa, kocha mkuu wa timu hiyo, Makka Mwalwisi amesema iwapo uongozi utazingatia ripoti aliyowasilisha, huenda msimu...

    MWALWISI Pict
  9. Mtibwa yajipanga Ligi Kuu, yaanza na mkali wa mabao

    MTIBWA Sugar imesema imebaini baadhi ya timu zinamnyatia staa wake, Raizin Hafidh hivyo imemuwahi mapema kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu huku ikidokeza mwelekeo mpya wa timu hiyo.

    mtibwa Pict
  10. KenGold ndoto mpya Ligi Kuu

    PAMOJA na kukubali kilichoikuta, KenGold imesema itafuatilia njia zilizotumiwa na Mtibwa Sugar na Mbeya City kuhakikisha inarejea tena Ligi Kuu, huku ikitoa msimamo kwa nyota waliosimamishwa kwa...

Page 1 of 106

Next