Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1011 results for Saddam Sadick :

  1. Mayanga awavuruga Mbeya City akitajwa kuibukia Mashujaa

    Tetesi za kuondoka kwa Kocha Mkuu wa Mbeya City, Salum Mayanga zimeonekana kuwashtua vigogo wa timu hiyo wakieleza kuwa bado hawajapata taarifa rasmi, huku wakitoa msimamo mzito.

    New Content Item (1)
  2. Championship vita imehamia huku

    WAKATI Mtibwa Sugar ikizidi kupepea kileleni, kibarua kipo kwa miamba minne kusaka nafasi mbili za juu kwenye Championship kuitafuta Ligi Kuu msimu ujao.

    CHAMPIONSHIP Pict
  3. Mashujaa FC yaamka, Ngushi atoa msimamo

    WAKATI kaimu kocha mpya wa Mashujaa, Charles Fred akichekelea kuanza vyema kibarua baada ya kuambulia sare ya 2-2 ugenini mbele ya KenGold, mshambuliaji wa timu hiyo, Crispin Ngushi amesema kasi...

    Ngushi Pict
  4. Ken Gold yabanwa Sokoine, mashabiki watawanywa na polisi

    Ken Gold imeshindwa kujinasua mkiani baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Mashujaa, huku mashabiki wa timu hiyo wakionekana kuvurugwa na matokeo hayo.

  5. KenGold, Mashujaa acha tuone, Morison bado

    WAKATI KenGold na Mashujaa zikishuka uwanjani leo, makocha wa timu hizo wamepiga hesabu kali kila mmoja akisisitiza pointi tatu muhimu.

  6. Si bure, Tanzania Prisons kuna mkono wa mtu

    ACHANA na matokeo ya Azam FC kuondoshwa katika michuano ya Kombe la Shirikisho kwa kufungwa na Mbeya City, hali imezidi kuwa mbaya kwa Tanzania Prisons ikiendelea kuyumba ikiwa ni kati ya timu...

  7. Machi 8 ni dabi ya GG

    WAKATI presha ya mechi ya watani Yanga na Simba ikizidi kupamba moto, staa wa zamani wa Moro United na Tukuyu Stars, Emmanuel Mwagamwaga amesema mchezo huo utakuwa na mabao ya kutosha yaani GG...

  8. Kocha Tanzania Prisons akataa unyonge

    ACHANA na kupoteza mechi tatu mfululizo, Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Aman Josiah amesema hatarajii wachezaji wake kurudia makosa wakati wakiivaa Fountain Gate leo akisisitiza pointi muhimu.

    Kocha Pict
  9. Mashabiki wataja kete ya ubingwa Bara

    WAKATI mashabiki wa Yanga wakichekelea matokeo ya sare waliyoipata watani zao, Simba dhidi ya Azam, mashabiki wa Wekundu wamesema suala la ubingwa bado wakitaja michezo ya kuamua hatima ya taji...

    Mashabiki Pict
  10. Kilichomkwamisha Morrison KenGold hiki hapa

    WAKATI mashabiki wa KenGold wakisubiri kwa hamu kumuona uwanjani staa mpya wa timu hiyo, Bernard Morrison, nyota huyo bado ataendelea kuwa nje ya uwanja hadi taratibu za vibali vya kazi nchini...

Page 1 of 102

Next