Nenda Jota nifikishie salamu kwa Maradona WANASEMA mauti yamevikwa taji dhidi ya dua. Diogo Jota. Watu wamezungumza ya kuzungumza. Wamelia vya kutosha. Mkeo Rute Cardoso hajiwezi baada ya kusikia taarifa yako. Watoto wako hawajui chochote.
GUY ROUX: Kocha aliyefundisha timu moja miaka 44, baba wa AJ Auxerre KATIKA historia ya soka duniani majina ya makocha wakubwa huandikwa kutokana na mataji waliyoshinda, timu walizopita na nyota waliowahi kuwanoa. Lakini ni wachache walioweza kutajwa kutokana na...
Umemuelewa Paul Labile Pogba? Juzi kati, mshkaji wetu, Paul Pogba alitukumbusha wimbo wa ‘Kilio cha Mtu Mzima’ wa bendi ya Msondo Ngoma wakati huo ikiitwa OTTU Jazz Band.
Kombe la Dunia la Klabu, Mamelodi Sundowns sio kinyonge BAADA ya Mamelodi Sundown kutoka sare jana dhidi Flamengo ya Brazil, rasmi timu zote za Afrika zimeondoshwa katika mashindano ya Kombe la Dunia la klabu yanayoendelea huko Marekani.
ALI DIA: Aliigiza binamu wa Weah, akasajiliwa Southampton SEPTEMBA 03, kila mwaka ni siku ya majonzi na ya kuchekesha kwa wapenzi wa mpira wa miguu duniani. Siku kama hiyo mwaka 1996, lilitokea tukio linaloendelea kuishi hadi sasa katika historia za...
Gyokeres anapoingizwa kwenye umafia wa soka la Ulaya RAFIKI yangu mmoja, wakala wa wachezaji wa mpira wa miguu, aliwahi kuniambia, ‘Football is a mafia game’, niliposhtuka alinifafanulia haikuwa na maana ni umafia wa watu kuwindana na kupotezeana...
Nini kimemkuta Neymar? NIMEKAA nimewaza tu, miaka ya 2013 kuja juu, nimekumbuka zile herufi tatu zilizoiteka dunia MSN. Barcelona ya ajabu ile, katikati Xavi Hernandez, Andreas Iniesta na Sergio Busquets, pale juu...
Ufahamu mchezo wa mbio za vitanda KAMA unadhani umetazama michezo yote na huujui mchezo wa mbio za kitanda, basi soma hapa. Duniani kuna michezo mingi na baadhi imekuwa na umaarufu mkubwa kama mpira wa miguu, lakini mingine...
Grealish? England ni sayari nyingine ile NENDA Google andika chochote unachotaka kujua kuhusu wachezaji wa England utapata majibu yake hata kama kilifanyika kabla ya Tanzania kupata Uhuru. Siyo kwamba wao wameendelea sana katika...
Ni mapenzi tu, Bruno haoni ALIWAHI kuandika mwana mashairi gwiji nchini marehemu Shaaban Robert kwamba "Halina kificho penzi liingiapo, mwenye mapenzi haoni ingawa anayo macho".