Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

215 results for Mustafa Mtupa :

  1. PRIME Fadlu kufunga busta Angola, hii hapa sababu ya kujaza viungo

    KIKOSI cha Simba kimetua salama jijini Luanda, Angola kwa ajili ya kuwahi mchezo wa tano wa Kundi A wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Bravos do Maquis utakaopigwa wikiendi hii, huku kocha wa...

  2. Fei Toto akibugi kidogo inakula kwake

    ALIWAHI kusikika mchezaji wa zamani wa Barcelona, Kevin Prince Boateng akimzungumzia Lionel Messi katika moja ya mahojiano yake akisema fundi huyo wa timu ya Inter Miami na Argentina hakuwahi...

    Fei Pict
  3. Bao sasa kuchezwa kila mkoa

    KATIKA kuhakikisha mchezo wa bao unachezwa kila kona ya nchi, chama cha mchezo huo Tanzania (Shimbata), kimepanga kuanzisha mashindano ya kila mkoa kuanzia mwakani.

    Bao Pict
  4. Rocky: Bingwa wa dunia aliyegeuka ombaomba - Sehemu ya pili

    Baada ya kufeli katika mapambano mawili aliyojaribu kupigana baada ya kurejea kutoka kustaafu, mwaka 1992, Rocky, hatimaye alistaafu rasmi masumbwi.

    Rocky Pict
  5. LOCKRIDGE: Bingwa mara 2 wa dunia aliyeishia kuwa ombaomba

    ROCKY Lockridge alikuwa akionekana juu ya kizingiti. Macho yake yalikuwa yakitazama vyema mandhari ya mitaa ya 7th Street na Chestnut huko Camden.

    Ombaomba Pict
  6. CARLOS KAISER: Tapeli aliyewaletea wachezaji wenzake mademu warembo #2

    KATIKA sehemu ya kwanza ya visa tuliona visa mbalimbali vya Carlos Henrique Raposo maarufu kama Carlos Kaiser ambaye aliwahi kuwa mchezaji mpira kwa zaidi ya miaka 20, akisajiliwa na timu za...

    TAPELI Pict
  7. CARLOS KAISER: Tapeli aliyesajiliwa bila ya kucheza mpira kwa miaka 14

    “KLABU zinawadanganya watu wengi, hivyo mimi pia nilihitaji kuwadanganya. Hawakuweza kunifukuza, timu zote nilizojiunga nazo zilisherehekea mara mbili, wakati niliposaini na kisha nilipoondoka.”

    TAPELI Pict
  8. Wasanii wa vichekesho watawala Kwa Mkapa

    IKIWA imesalia saa Moja kabla ya kuanza kwa mchezo wa Kombe la shirikisho kati ya Simba dhidi ya Bravos do Maquis ya Angola, wasanii mbalimbali wa vichekesho tayari wameshawasili uwanjani hapa.

    Wasanii Pict
  9. WAFCON: Twiga Stars njia hii hapa

    DROO ya mashindano ya mataifa ya Afrika kwa upande wa wanawake (Awcon), ilifanyika juzi usiku jijini Sale, Morocco na timu ya Taifa ya Tanzania imepangwa kundi ‘C’ lenye bingwa mtetezi Afrika...

  10. WANAPENYAJE? Vita ya mwisho kusaka tiketi Afcon 2025

    Kesho na keshokutwa itakuwa ni mwisho wa kuzisaka timu 24 zitakazoshiriki mfainali za mataifa ya Africa (AFCON), zitakayofanyika kuanzia Desemba 21 mwakani hadi Januari 18, 2026.

    AFCON Pict

Page 1 of 22

Next