Mwaikimba aongoza mauaji ya Ihefu Mshambuliaji huyo alitamba akiwa Yanga, Azam na timu ya taifa Taifa Stars
Beki Yanga aandika historia UNAMKUMBUKA yule beki wa kushoto aliyetamba kwenye kikosi cha Yanga na Taifa Stars kutokana na kucheza soka la nguvu, Oscar Joshua ‘OJ’?
Kim apitisha panga U23 Timu hiyo kwa sasa inajiandaa na michezo ya kusaka kufuzu kwa Michezo ya Olimpiki Tokyo 2020
Hukumu ya Pistorius yafuatiliwa upya Serikali ya Afrika Kusini imeiomba Mahakama ya juu nchini humo kumwongezea kifungo mwanaridha mlemavu, Oscar Pistorius ‘Blade Runner’ aliyekutwa na hatia ya kumuua mpenzi wake, Reeva...
Kim ajaza nyota Ligi Kuu U-23 Kocha huyo ameita kikosi hicho kinajiandaa na michezo ya kufuzu kwa Olimpiki 2020
Oscar ajiandaa kwenda Sauzi Beki wa zamani wa Yanga, Oscar Joshua amerudi Dar es Salaam na sasa anapiga tizi la maana kwenye ufukwe wa Coco ikiwa ni maandalizi ya safari yake ya nje na inadaiwa ni Afrika Kusini.
Barca yamng’ang’ania Coutinho Kiungo huyo wa Brazil amekuwa na mafanikio makubwa tangu alipotua katika kikosi cha Liverpool
Soka la China lamchosha Oscar, atamani kurudi England Mchezaji huyo aliondoka Chelsea baada ya kocha Antonio Conte kubadili mfumo jambo ambalo lilimkosesha namba kikosini hapo.
Oscar Joshua afunga ndoa Beki wa kushoto wa zamani wa Yanga, Oscar Joshua amefunga ndoa na mkewe, Monica katika kanisa la TAG jijini Mwanza jana Jumamosi.
Shime atoswa Serengeti Boys Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limeachana rasmi na aliyekuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya vijana wenye umri wa miaka 17 'Serengeti Boys', Bakari Shime na nafasi yake kuchukuliwa na Kim...