Hizi ndizo hesabu za Chipo Mtibwa Sugar BAADA ya kuiongoza Mtibwa Sugar kukusanya pointi 15 katika mechi saba bila kupoteza, ikishinda mechi nne na sare tatu, kocha Yusuf Chipo amesema bado anapambana kuifanya iwe kati ya timu bora na...
Guardiola aandaliwa warithi wake Etihad MANCHESTER City inaandaa mipango ya maisha baada ya Pep Guardiola huku uvumi ukiongezeka huu unaweza kuwa msimu wake wa mwisho katika klabu hiyo ya Etihad.
Carragher afuta kauli yake kwa Casemiro JAMIE Carragher hatimaye amekiri soka halijamwacha nyota wa Manchester United, Casemiro, kama alivyodai hapo awali.
Kombe la Dunia linaweza kuondoka Marekani? IKO HIVI SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) linaweza kuwa na uwezo wa kuiondolea Marekani haki ya kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia la FIFA 2026, ikiwa moja kati ya vipengele katika mkataba wa...
Liverpool kuilipa fidia Chelsea LIVERPOOL imeamriwa kuilipa Chelsea Pauni 2.8 milioni baada ya baraza la usuluhishi kutoa uamuzi kuhusu usajili wa Rio Ngumoha.
Thierry Mouyouma: Gabon imeadhibiwa kwa makosa yetu Kocha wa timu ya taifa ya Gabon, Thierry Mouyouma, amefichua makosa yaliyoiponza ipoteza mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia 2026, mbele ya Nigeria iliyochomoz ana ushindi 4-1, jana Alhamisi...
Makhachev amtwanga Maddalena na kubeba taji jingine la UFC ISLAM Makhachev, mpiganaji wa mchanganyiko wa sanaa za mapigano (MMA) amefanya kweli baada ya kumzidi ujanja Jack Della Maddalena katika pambano la raundi tano na kutwaa ubingwa wa UFC uzito wa...
Kocha Super Eagles aishutumu DR Congo kwa ‘uchawi’ Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Nigeria, Eric Chelle, ameishtumu DR Congo kwa kutumia ‘uchawi’ wakati wa mikwaju ya penalti katika mechi ya fainali ya mchujo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026...
NFF yamuomba radhi rais wa Nigeria kwa kushindwa kufuzu Kombe la Dunia Shirikisho la Soka Nigeria (NFF), limeomba radhi Rais wa nchi hiyo, Bola Ahmed Tinubu na mashabiki wote wa soka nchini humo, kufuatia timu yao Super Eagles kushindwa kufikia lengo la kufuzu Kombe...
Kichapo cha DR Congo bado kinamuuma Stanley Nwabali Kipa wa timu ya taifa ya Nigeria, Stanley Nwabali amekiri kuumizwa na matokeo ya mechi ya mwisho ya kufuzu Kombe la Dunia 2026, ambayo alishuhudia wakichapwa kwa penalti 4-3 dhidi ya DR Congo...