Mbappe macho kodo kwenye Pichichi SUPASTAA straika, Kylian Mbappe ameangusha rekodi moja baada ya nyingine kutokana na kasi yake ya kutikisa nyavu kwenye kikosi chake Real Madrid huko Hispania.
Arteta kasema... Arsenal ni bora MIKEL Arteta amedai kwamba Arsenal ilikuwa timu bora kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu na ilikuwa vizuri kuliko Paris Saint-Germain licha ya kutupwa nje ya michuano hiyo kwenye hatua ya...
Man United imejipanga, yatenga Pauni 125 milioni NUSU fainali ya Europa League si umeona? Basi Manchester United imejipanga kwa mazuri zaidi kwenye kikosi hicho baada ya kutenga mkwanja wa Pauni 125 milioni kunasa huduma ya wakali wawili kwenye...
PSG, Arsenal UEFA ni kimbembe Paris Saint-Germain imeweka matumaini yote ya kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu, lakini mbele yao kimesimama kigingi kinachoitwa Arsenal.
Waarabu wabipu kwa Fernandes, wapigiwa MIAMBA ya soka ya Saudi Arabia, Al-Hilal ipo tayari kuweka mkwanja wa maana mezani kwa ajili ya kuishawishi Manchester United iwauzie kiungo wao matata, Bruno Fernandes dirisha lijalo la majira...
Ngoja Alonso aje tuone NI suala la muda tu kabla ya Xabi Alonso hajathibitishwa kuwa kocha mpya wa Real Madrid baada ya mwenyewe kutangaza kuachana na Bayer Leverkusen mwishoni mwa msimu.
PRIME Kigogo TFF atia neno fainali CAFCC kuchezwa Zanzibar SIMBA imerejea nchini ikitokea Morocco ilikopoteza mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika mbele ya RS Berkane kwa mabao 2-0, lakini kuna taarifa moja ngumu ambayo hakuna namna...
Neville: Waje sita Manchester United BEKI wa zamani, Gary Neville amefichua mastaa sita ambao Manchester United inapaswa kufanya kila inaloliweza kunasa saini zao kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi ili kukifanya...
Ronaldo, Al Nassr kizungumkuti HATMA ya Cristiano Ronaldo katika kikosi cha Al Nassr inadaiwa kuwa iko shakani baada ya mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya kusitishwa kwa muda.
Kocha amorim kung’atuka atoa sababu nzito Man United KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amefichua kwamba atamwaga manyanga ya kuinoa timu hiyo kama atashindwa kubadilisha kiwango cha timu hiyo ndani ya uwanja.