Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8818 results for Mwandishi :

  1. Slot amfikiria Ekitike gemu la Arsenal

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot ana matumaini kuwa straika Hugo Ekitike atakuwa fiti kiasi cha kutosha kuwakabili Arsenal baada ya kukosa uhakika kama staa huyo atarejea kwa wakati.

    SLOT Pict
  2. Solskjaer, Man United kuna kitu kinapikwa

    OLE Gunnar Solskjaer ameripotiwa kwamba angetumia siku ya jana Jumamosi kufanya mazungumzo zaidi ya kuhusu kibarua cha kuinoa Manchester United.

    OLE Pict
  3. Mavumba ya Carrick kwa Mbeumo sio poa

    KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick amevuruga mipango iliyowahi kuwekwa na kocha wa zamani wa timu hiyo Ruben Amorim kuhusu mshambuliaji Bryan Mbeumo siku chache tu baada ya kuajiriwa.

  4. Man United, Amorim kuna jambo haliko sawa

    UHUSIANO kati ya kocha wa Manchester United, Ruben Amorim, na baadhi ya viongozi wa timu hiyo kwa sasa unadaiwa kuharibika.

    AMORIM Pict
  5. Diarra naye nje Afcon, Mali yachapwa na Senegal

    BAO la Iliman Ndiaye katika kipindi cha kwanza lilitosha kuipa Senegal ushindi dhidi ya Mali iliyokuwa na wachezaji 10 na hivyo kutinga nusu fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025...

    MALI Pict
  6. Merino atuma ujumbe huko, asisitiza jambo

    KIUNGO mwenye uwezo mkubwa wa kufunga, Mikel Merino amesema kwa msisitizo Arsenal iko tayari kupambana na msongamano wa ratiba yao ya mechi kwa sababu wana ‘njaa’ ya kushinda mataji msimu huu.

    MERINO Pict
  7. Arsenal mpo? Sikieni hii ishu ya Arteta

    RIO Ferdinand ametoa kauli ya kushangaza akidai Mikel Arteta angefikiria kuchukua kazi ya Manchester United endapo angepigiwa simu, licha ya kuwa na malengo ya muda mrefu akiwa na kikosi...

    ARTETA Pict
  8. Riyad Mahrez aweka shilingi yake Nigeria

    NAHODHA wa Algeria, Riyad Mahrez ameitaja timu ya taifa ya Nigeria kuwa miongoni mwa vinara wa kutwaa Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 (AFCON).

    MAHREZ Pict
  9. Duh! Kumbe Amorim ndo hivi...

    RIPOTI za ndani zinadai kocha wa zamani wa Manchester United, Ruben Amorim alikuwa tayari kujiuzulu siku tatu kabla ya kufukuzwa kazi na alikuwa tayari hata kusamehe fidia ya Pauni 12 milioni...

    AMORIM Pict
  10. Mashabiki wazuiwa kuingia Marekani

    MASHINDANO ya Kombe la Dunia la 2026 yamekumbwa na kikwazo kingine kikubwa baada ya mashabiki kutoka mataifa 15 yanayoshiriki mashindano hayo mambo yao ya viza kusubirishwa na Marekani chini ya...

    MASHABIKI Pict
Previous

Page 352 of 882

Next