Slot amfikiria Ekitike gemu la Arsenal KOCHA wa Liverpool, Arne Slot ana matumaini kuwa straika Hugo Ekitike atakuwa fiti kiasi cha kutosha kuwakabili Arsenal baada ya kukosa uhakika kama staa huyo atarejea kwa wakati.
Solskjaer, Man United kuna kitu kinapikwa OLE Gunnar Solskjaer ameripotiwa kwamba angetumia siku ya jana Jumamosi kufanya mazungumzo zaidi ya kuhusu kibarua cha kuinoa Manchester United.
Mavumba ya Carrick kwa Mbeumo sio poa KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick amevuruga mipango iliyowahi kuwekwa na kocha wa zamani wa timu hiyo Ruben Amorim kuhusu mshambuliaji Bryan Mbeumo siku chache tu baada ya kuajiriwa.
Man United, Amorim kuna jambo haliko sawa UHUSIANO kati ya kocha wa Manchester United, Ruben Amorim, na baadhi ya viongozi wa timu hiyo kwa sasa unadaiwa kuharibika.
Diarra naye nje Afcon, Mali yachapwa na Senegal BAO la Iliman Ndiaye katika kipindi cha kwanza lilitosha kuipa Senegal ushindi dhidi ya Mali iliyokuwa na wachezaji 10 na hivyo kutinga nusu fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025...
Merino atuma ujumbe huko, asisitiza jambo KIUNGO mwenye uwezo mkubwa wa kufunga, Mikel Merino amesema kwa msisitizo Arsenal iko tayari kupambana na msongamano wa ratiba yao ya mechi kwa sababu wana ‘njaa’ ya kushinda mataji msimu huu.
Arsenal mpo? Sikieni hii ishu ya Arteta RIO Ferdinand ametoa kauli ya kushangaza akidai Mikel Arteta angefikiria kuchukua kazi ya Manchester United endapo angepigiwa simu, licha ya kuwa na malengo ya muda mrefu akiwa na kikosi...
Riyad Mahrez aweka shilingi yake Nigeria NAHODHA wa Algeria, Riyad Mahrez ameitaja timu ya taifa ya Nigeria kuwa miongoni mwa vinara wa kutwaa Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 (AFCON).
Duh! Kumbe Amorim ndo hivi... RIPOTI za ndani zinadai kocha wa zamani wa Manchester United, Ruben Amorim alikuwa tayari kujiuzulu siku tatu kabla ya kufukuzwa kazi na alikuwa tayari hata kusamehe fidia ya Pauni 12 milioni...
Mashabiki wazuiwa kuingia Marekani MASHINDANO ya Kombe la Dunia la 2026 yamekumbwa na kikwazo kingine kikubwa baada ya mashabiki kutoka mataifa 15 yanayoshiriki mashindano hayo mambo yao ya viza kusubirishwa na Marekani chini ya...