Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8806 results for Mwandishi :

  1. Gyokeres ahofia dili la Arsenal kuvunjika

    STRAIKA Viktor Gyokeres atafikiria uamuzi wa mkopo kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi endapo kama Sporting na Arsenal zitashindwa kufikia makubaliano juu ya ada ya uhamisho.

  2. Nunez kuipa hasara Liverpool

    LIVERPOOL huenda ikapoteza takribani Pauni 15 milioni dirisha hili ikiwa itamuuza mshambuliaji wao wa kimataifa wa Uruguay, Darwin Nunez.

    NUNEZ Pict
  3. Kwa mziki huu wa Spurs, mtakoma

    TOTTENHAM Hotspur sasa imewasha moto dirisha hili la usajili, ikinyakua huduma ya winga wa West Ham United, Mohammed Kudus kwa Pauni 55 milioni na sasa inakaribia kwenye kunyakua saini ya kiungo...

    MZIKI Pict
  4. Amorim amrudisha Garnacho kundini

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amejiweka kwenye hatari ya kutibuana na Marcus Rashford zaidi baada ya kuripotiwa kumruhusu Alejandro Garnacho kufanya mazoezi na wenzake huko Carrington...

  5. Isaak ni mashine ya hela

    LIVERPOOL ipo tayari kuvunja rekodi ya Uingereza kwenye uhamisho wa wanasoka kwa kumnasa straika wa Newcastle United na Sweden, Alexander Isak.

  6. Usyk, Dubois kumaliza ubishi Wembley

    SIKU zinawadia. Uwanja wa Wembley, jijini London, unatarajiwa kuwa kitovu cha dunia ya ngumi Julai 19, 2025, wakati mabondia wakubwa Oleksandr Usyk na Daniel Dubois watakapoingia ulingoni kwa...

    MASUMBWI Pict
  7. Noni Madueke ni mshika bunduki

    KUWAKABILI Arsenal msimu ujao mjipange. Ndicho unachoweza kusema baada ya kocha Mikel Arteta kushusha mashine nyingine matata kabisa kwenye kikosi chake baada ya kumnasa winga wa Chelsea, Noni...

  8. Ten Hag kaanzia alipoishia huko

    KOCHA, Erik ten Hag ameendelea alipoishia baada ya kukumbana na kichapo kwenye mechi yake ya kwanza kuinoa Bayer Leverkusen huku mbaya zaidi akipoteza mbele ya timu ya vijana.

  9. Alonso anajua amtumie vipi Jude

    KOCHA Xabi Alonso amefichua mipango yake juu ya namna atakavyomtukia kiungo Mwingereza Jude Bellingham baada ya kutambulishwa kuwa kocha mpya wa Real Madrid.

    ALONSO Pict
  10. Yanga yalaani vitendo viovu walivyofanyiwa mashabiki wao fainali CAFCC

    Klabu ya Yanga imesikitishwa na kulaani vikali vitendo vya kupigwa, kuchaniwa jezi na kufukuzwa uwanjani kwa mashabiki wao katika mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho Afrika uliochezwa kwenye...

Previous

Page 331 of 881

Next