Simba yalazimishwa sare Amaan Complex, RS Berkane bingwa CAFCC SIMBA imepoteza kwa mara nyingine fainali ya michuano ya CAF, ikiwa nyumbani baada ya kutoka sare ya 1-1 na RS Berkane ya Morocco na matokeo ya jumla kuwa 3-1, lakini mashabiki wa klabu hiyo...
Camara, Ngoma nusura wazichape New Amaan KATIKA hali isiyo ya kawaida, wachezaji wawili wa Simba, kipa Moussa Camara na kiungo mkabaji Fabrice Ngoma, walinaswa wakiwa katika mzozo mkali uliokaribia kugeuka ugomvi wa wazi, wakitaka...
Kocha Mhispaniola akoshwa na vipaji vya Kitanzania KOCHA wa akademi ya The Spain Rush-SPF, Mhispaniola Vicente Linares, ameongea jambo baada ya kushuhudia uwezo wa vijana wawili wa Kitanzania waliopo katika akademi hiyo mjini Valencia, Hispania.
Amaan yachangamka mapema, mashabiki Simba waonyesha vidole vitatu LEO ni siku ya kihistoria katika ardhi ya visiwa vya Zanzibar. Uwanja wa New Amaan, uliopo Unguja umebeba matumaini kwa mashabiki wa Simba, ambao wamefurika kwa maelfu wakiwa na lengo moja tu...
Motsepe kutua Zanzibar na ndege binafsi RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Dk. Patrice Motsepe, anatarajiwa kutua leo Jumapili visiwani Zanzibar kwa ndege binafsi akitokea Afrika Kusini, ili ashuhudie mechi ya fainali ya pili...
Joto Zanzibar laitesa Berkane WAKATI kikosi cha RS Berkane kutoka Morocco kikijipanga kuivaa Simba SC katika fainali ya marudiano ya Kombe la Shirikisho Afrika, hali ya hewa ya Zanzibar inaonekana kuwatesa Waarabu hao.
PRIME Simba v Berkane ngome mpya, historia mpya ugumu uko hapa! NI Jumapili ya kihistoria Mei 25, 2025. Macho na masikio ya Afrika yapo Zanzibar kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, ambako kutapigwa fainali ya marudiano ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya...
Fadlu aweka kila kitu wazi atakavyoikabili Berkane KOCHA wa Simba SC, Fadlu Davids, amesema kikosi kiko tayari kwa mechi ya fainali ya marudiano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane huku akisisitiza kuwa wachezaji wameshajifunza...
Camara wa Berkane adai Simba ina timu nzuri, lakini... KIUNGO wa RS Berkane, Mamadou Lamine Camara, amesema licha ya ushindi wa mabao 2-0 walioupata katika fainali ya mkondo wa kwanza dhidi ya Simba SC huko Morocco, lakini hawatarajii mechi nyepesi...
Kipa Berkane aichimba mkwara Simba KIPA wa RS Berkane ya Morocco, Munir El Kajoui amesema kikosi chao kimetua Tanzania kwa kazi moja tu - kuhakikisha kinakamilisha kile walichokianza kwenye mechi ya kwanza ya fainali dhidi ya...