Mancini ajipeleka Man United kiaina KOCHA Roberto Mancini amewaambia marafiki zake anaweza kuwa chaguo la kushtua wengi la kutua Manchester United wakati itakapomfuta kazi Ruben Amorim.
Arteta amtisha straika Gyokeres KOCHA Mikel Arteta amemwonya straika wake Viktor Gyokeres angechagua kwenda kujiunga na timu nyingine endapo kama atashindwa kuendana na presha ya kufunga mabao inayomkabili kwa sasa kwenye Ligi...
Stones nusura astaafu soka BEKI wa kati wa Manchester City na England, John Stones amefichua alifikiria kustaafu soka msimu uliopita baada ya kuandamwa sana na majeraha.
Ndinga za kifahari kwa mastaa NBA ‘WANATESA kote kote.’ Ndicho unaweza kusema kwa mastaa wa mpira wa kikapu huko Marekani kama vile LeBron James na Stephen Curry kutokana na magari ya kifahari wanayomiliki.
Amorim anajua hili? Historia ya makocha Man United na vipigo vya Liverpool RUBEN Amorim anajua hii? Kama hajui iko hivi, chama lake la Manchester United linakwenda Anfield kuwakabili Liverpool, ambao ni maspeshalisti wa kufukuzisha makocha wa Old Trafford.
Timu kiboko kwa kuchelewesha muda England UNAKUWA kwenye hali gani, timu yako inahitaji bao na mpinzani unayekabiliana naye, wachezaji wake wanapoteza tu muda uwanjani, kwa kujiangusha au kuchelewa kurusha mpira au kupiga golikiki.
Liverpool, Man United utamu upo hapa Anfield LIVERPOOL pengine imejeruhiwa, lakini Manchester United itahitaji kuwa fiti kwenye maeneo mengi kupata matokeo ya uwanjani Anfield, Jumapili.
Utaamua unarudi tena Ulaya LIGI Kuu za Ulaya zinarejea baada ya kupisha mikikimikiki ya mechi za kimataifa, huku mashabiki wakitarajia kuona kasheshe zito zitakalotokea kwenye Ligi Kuu England, La Liga, Bundesliga, Serie A...
Amorim hana presha, yuko freshi tu! WAKATI wa mapumziko ya mechi za kimataifa, umesikia mengi kuhusu Manchester United.
Bayern, Barca ni jino kwa jino kwa Dusan Vlahovic BARCELONA inaangalia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wa Juventus na timu ya taifa ya Serbia, Dusan Vlahovic, mwenye umri wa miaka 25, ambaye anatarajiwa kuwa mchezaji huru mwisho wa msimu huu.