Joshua afunguka kwa mara ya kwanza BONDIA raia wa England, Anthony Joshua ameposti kwenye mitandao ya kijamii kwa mara ya kwanza tangu alipopata ajali ya gari iliyoua marafiki wake wawili wa karibu nchini Nigeria.
Ronaldo ampokea Mane kwa keki ya ubingwa Simba wa Teranga ilitwaa taji lao la pili la AFCON baada ya fainali yenye utata dhidi ya Morocco, wenyeji wa mashindano, mjini Rabat Jumapili.
Sergio Ramos kuinunua Sevilla BEKI wa boli, Sergio Ramos amepanga kurejea kwa kishindo katika ulimwengu wa soka na inaripotiwa kuwa anaweza kuinunua moja ya klabu alizowahi kuzichezea zamani.
Kocha mpya kuketi kitako na Sterling STAA wa Chelsea, Raheem Sterling, ambaye kwa sasa ametengwa kikosini, anatarajiwa kufanya mazungumzo ya dharura na kocha mpya wa timu hiyo, Liam Rosenior, siku chache zijazo.
Mtalii Balotelli ajiunga klabu ya 14 kwenye soka SUPASTAA straika Mario Balotelli sasa amekamilisha mpango wake wa kujiunga na klabu ya 14 katika maisha yake ya soka baada ya kuibukia Al-Ittifaq ya Dubai.
Carragher: Slot akikwama hapa hana kazi tena JAMIE Carragher anatabiri Liverpool itamfuta kazi Arne Slot endapo atashindwa kuipeleka klabu hiyo kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Harry Kane mezani kwake dili ni kubaki Bayern STRAIKA, Harry Kane yuko kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba wake Bayern Munich, jambo linalozima matumaini ya klabu zilizokuwa zikivizia kipengele chake cha kuachiliwa kwa bei nafuu.
Cunha ajiweka hatarini kufungiwa STAA wa Manchester United, Matheus Cunha, huenda akakumbana na adhabu ya kufungiwa baada ya kutumia maneno yasiyofaa wakati aliposhangilia bao lake. Mshambuliaji huyo alifunga bao la kushangaza...
Liverpool yafikiria kumpa kazi Xabi Alonso LIVERPOOL inaripotiwa kuanza mawasiliano na Xabi Alonso kuhusu uwezekano wa kwenda kuchukua nafasi ya Kocha wa Anfield, Arne Slot na inadaiwa Mhispaniola huyo ameonyesha nia ya kukubali kibarua...
Senegal yapiga tatu, yatinga robo fainali SENEGAL imekuwa timu ya kwanza kutinga robo fainali ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya kuichapa Sudan mabao 3-1 katika mchezo wa hatua ya 16 bora uliofanyika...