Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8763 results for Mwandishi :

  1. Joshua afunguka kwa mara ya kwanza

    BONDIA raia wa England, Anthony Joshua ameposti kwenye mitandao ya kijamii kwa mara ya kwanza tangu alipopata ajali ya gari iliyoua marafiki wake wawili wa karibu nchini Nigeria.

    JOSHUA Pict
  2. Ronaldo ampokea Mane kwa keki ya ubingwa

    Simba wa Teranga ilitwaa taji lao la pili la AFCON baada ya fainali yenye utata dhidi ya Morocco, wenyeji wa mashindano, mjini Rabat Jumapili.

  3. Sergio Ramos kuinunua Sevilla

    BEKI wa boli, Sergio Ramos amepanga kurejea kwa kishindo katika ulimwengu wa soka na inaripotiwa kuwa anaweza kuinunua moja ya klabu alizowahi kuzichezea zamani.

    RAMOS Pict
  4. Kocha mpya kuketi kitako na Sterling

    STAA wa Chelsea, Raheem Sterling, ambaye kwa sasa ametengwa kikosini, anatarajiwa kufanya mazungumzo ya dharura na kocha mpya wa timu hiyo, Liam Rosenior, siku chache zijazo.

    STERLING Pict
  5. Mtalii Balotelli ajiunga klabu ya 14 kwenye soka

    SUPASTAA straika Mario Balotelli sasa amekamilisha mpango wake wa kujiunga na klabu ya 14 katika maisha yake ya soka baada ya kuibukia Al-Ittifaq ya Dubai.

    BALOTELLI Pict
  6. Carragher: Slot akikwama hapa hana kazi tena

    JAMIE Carragher anatabiri Liverpool itamfuta kazi Arne Slot endapo atashindwa kuipeleka klabu hiyo kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya.

    CARRA Pict
  7. Harry Kane mezani kwake dili ni kubaki Bayern

    STRAIKA, Harry Kane yuko kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba wake Bayern Munich, jambo linalozima matumaini ya klabu zilizokuwa zikivizia kipengele chake cha kuachiliwa kwa bei nafuu.

    KANE Pict
  8. Cunha ajiweka hatarini kufungiwa

    STAA wa Manchester United, Matheus Cunha, huenda akakumbana na adhabu ya kufungiwa baada ya kutumia maneno yasiyofaa wakati aliposhangilia bao lake. Mshambuliaji huyo alifunga bao la kushangaza...

    CUBHA Pict
  9. Liverpool yafikiria kumpa kazi Xabi Alonso

    LIVERPOOL inaripotiwa kuanza mawasiliano na Xabi Alonso kuhusu uwezekano wa kwenda kuchukua nafasi ya Kocha wa Anfield, Arne Slot na inadaiwa Mhispaniola huyo ameonyesha nia ya kukubali kibarua...

    ALONSO Pict
  10. Senegal yapiga tatu, yatinga robo fainali

    SENEGAL imekuwa timu ya kwanza kutinga robo fainali ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya kuichapa Sudan mabao 3-1 katika mchezo wa hatua ya 16 bora uliofanyika...

    SENEGAL Pict
Previous

Page 288 of 877

Next