Paul Scholes amkataa Michael Carrick Man United NYOTA wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes amemrushia dongo Kocha wa Manchester United, Michael Carrick baada ya timu hiyo kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Newcastle United, licha ya...
Ronaldinho abariki jezi namba 10 ya Yamal GWIJI wa Barcelona na timu ya taifa ya Brazil, Ronaldinho Gaucho ameunga mkono kitendo cha kinda wa Barcelona, Lamine Yamal kurithi jezi namba 10 ya Lionel Messi, akisisitiza dogo anastahili.
Slot ashangaa PSG kuwafunga mawili tu KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amekiri timu yake ilikuwa na bahati kutopoteza kwa mabao mengi zaidi dhidi ya Paris Saint-Germain baada ya kuchapwa 2-0 katika robo fainali ya Ligi Mabingwa Ulaya...
I'm sorry, Slot akubali lawama Liverpool KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amesema anapaswa kubeba lawama kutokana na matokeo mabaya mfululizo ya timu yake tangu mwanzo wa msimu huu.
Amorim kasema... hakuna kupoa MANCHESTER United inashiriki mchuano mmoja tu wa Ligi Kuu England, lakini huko mazoezini ratiba yao ni kama inacheza michuano mingine mikubwa Ulaya.
Kocha Spurs bado yupo sana mjini BAADA ya kichapo cha aibu cha mabao 4-1 kutoka kwa mahasimu wao wa London Kaskazini, Arsenal, mashabiki wa Tottenham walikuwa wanataka Kocha Thomas Frank afutwe kazi, lakini mabosi wa miamba hiyo...
Jamie Redknapp: Salah aachwe Januari, lasivyo... MSHAMBULIAJI wa zamani wa Liverpool, Jamie Redknapp, amekiri kuwa atashangaa sana ikiwa Mohamed Salah atamaliza mkataba wake wote katika viunga vya Anfield, akidai kuwa uhusiano wa staa huyo raia...
AFCON 2025: Wilfred Ndidi akabidhiwa kitambaa Super Eagles Kiungo wa Leicester City, Wilfred Ndidi amekabidhiwa jukumu la kukiongoza kikosi cha Nigeria maarufu Super Eagles katika fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) zinazotarajiwa kuanza Desemba...
Gwiji wa Argentina akibashiria neema kikosi cha Lionel Scaloni Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya Argentina, Gabriel Batistuta, amebashiri kuwa ‘Albiceleste’ itacheza mechi ya fainali katika michuano ya Kombe la Dunia 2026.
He! Alonso akalia kuti kavu Madrid KOCHA wa Real Madrid, Xabi Alonso anakabiliwa na hatari ya kufutwa kazi kwenye klabu hiyo endapo matokeo na kiwango cha timu vitashindwa kuwa vizuri kwa haraka.