Infantino aihakikishia timu ya taifa ya Iran kuingia Marekani
Wachezaji wa zamani wa Reading FC na Hull City, Saeed Ezatolahi na Allahyar Sayyadmanesh, wataweza kuichezea Iran katika fainali za Kombe la Dunia la 2026, endapo wataitwa kwenye kikosi cha nchi...