Vita ya ubingwa EPL iko hapa MAMBO yamezidi kunoga. Matumaini ya Arsenal yalikuwa ni kuondoka kwenye mechi ya ugenini dhidi ya Sunderland kwa kuzoa pointi zote tatu baada ya kupindua meza, lakini Brian Brobbey, alikuja...
FAI yaidhinisha azimio la kuzuia Israel kushiriki mashindano ya UEFA Mamlaka ya Mpira wa Miguu Jamhuri ya Ireland (FAI), imeidhinisha azimio linaloitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Ulaya (UEFA) kusitisha mpango wa klabu za Israel kushiriki mashindano ya bara hilo.
Geremi Njitap ampa maua yake Cole Palmer akimfanisha na Lampard Kiungo wa zamani wa Chelsea, Geremi Njitap, amemlinganisha gwiji wa klabu hiyo, Frank Lampard na kinda anayetamba kwa sasa, Cole Palmer.
Mastaa watano Celta Vigo kuinogesha mechi yao na Barca Wachezaji watano wa zamani wa Barcelona, wanaweza kuanza dhidi ya klabu hiyo leo Jumapili, Novemba 9, 2025, wakati Celta Vigo itakapokabiliana na FC Barcelona kwenye uwanja wa Balaídos, ikiwa ni...
Sare ya 2-2 yamnyong’onyesha Mikel Arteta Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta amekiri kwamba haikuwa rahisi kuamini kama kikosi chake kimelazimishwa sare, baada ya wenyeji wao Sunderland kupata bao la dakika za mwisho jana Jumamosi, Novemba...
Sare ya Arsenal yamuibua Guardiola, arusha kijembe Kocha wa Manchester City Pep Guardiola, ameipiga kijembe Arsenal, baada ya kuambulia sare ya 2-2 dhidi ya Sunderland iliyokuwa nyumbani Stadium of Light, jana Jumamosi, Novemba 08, 2025.
Man City v Liverpool ni bato la Haaland, Van Dijk WASWAHILI wana msemo wao unasema hivi, usiku wa deni haukawii kucha.
De Ligt aiokoa Man United dakika za mwisho ugenini MPIRA wa kichwa wa dakika za mwisho kabisa kutoka kwa Matthijs de Ligt, uliiokoa Manchester United kukumbana na kichapo kutoka kwa Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliofanyika...
Mambo matatu mkutano wa Kipchoge na Obama Marekani Bingwa mara mbili wa Olimpiki katika mbio za marathon, Eliud Kipchoge, baada ya kumaliza kushiriki New York Marathon, Ijumaa Novemba 7, 2025 alikutana na Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama,...
Jeshi la McCarthy likijiandaa kuikabili Equatorial Guinea, Senegal Kocha wa timu ya taifa ya Kenya, Harambee Stars, Benni McCarthy amewaita kipa Brian Opondo na beki Kevin Otiende kwenye kikosi kitakachocheza mechi za kirafiki za kimataifa dhidi ya Equatorial...