Neville awataja Arsenal, Man City mbio za ubingwa GARY Neville anaamini mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England ni mbio za farasi wawili na hivyo kuwaweka kando Aston Villa kwenye mchakamchaka huo.
He! Eti Ugarte ana gundu KIUNGO wa Manchester United, Manuel Ugarte amedaiwa kwamba ndiye gundu kubwa kwenye kikosi hicho wakati inachapwa na Aston Villa uwanjani Villa Park, Jumapili iliyopita
Isak kukaa nje siku kibao STRAIKA wa Liverpool, Alexander Isak anakabiliwa na muda mrefu wa kuwa nje ya uwanja baada ya kuripotiwa kuwa na mpasuko kwenye mfupa wa mguu
Mali, Zambia hakuna mbabe, Daka akimtungua Diarra BAO la dakika za majeruhi la Patson Daka limeiokoa Zambia kukumbana na kichapo mbele ya Mali baada ya kutoka sare ya 1-1 kwenye mechi ya kwanza ya Kundi A katika mashindano ya AFCON 2025...
Redknapp ampiga kijembe Gyokeres STAA wa zamani wa Ligi Kuu England, Jamie Redknapp amempiga kijembe straika wa Arsenal, Viktor Gyokeres akidai kwamba hana uwezo wa kucheza kwenye kikosi cha The Gunners licha ya kwamba...
Isak atafutiwa mbadala, Semenyo atajwa LIVERPOOL inaweza kubadili mwelekeo wa usajili iwapo jeraha la mshambuliaji wao wa kimataifa wa Sweden, Alexander Isak, 26, yataonekana kuwa makubwa na kumweka nje kwa muda mrefu.
Davido aipa Taifa Stars bao dhidi ya Nigeria STAA wa muziki wa Nigeria, Davido ametoa utabiri wake wa nchi ambayo anaamini itanyakua ubingwa wa Afcon 2025.
Victor Osimhen atuma ujumbe kwa mashabiki STRAIKA wa Nigeria, Victor Osimhen amesema Afcon 2025 ni sehemu mwakafa ya kuponyesha vidonda vyao na kuwapa mashabiki kile wanachostahili baada ya kushindwa kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026.
Achraf Hakimi wa nini, kuna Mazraoui BEKI wa kulia, Achraf Hakimi ameshindwa kucheza mechi ya kwanza ya Afcon 2025, lakini hilo la kukosekana kwake wala halikuwa pengo kwenye kikosi cha Morocco baada ya uwepo wa Noussair Mazraoui...