Ilibaki kiduchu Gallagher atue Man United MANCHESTER United imekwama kwenye dakika za mwisho kabisa kunasa huduma ya kiungo Conor Gallagher wakati dirisha la usajili lilipofungwa Jumatatu.
Dah! Maskini Andre Onana USIOMBEE kuchokwa. Hicho ndicho kinachomkuta kipa Andre Onana kwa sasa baada ya mashabiki wa Manchester United kuwataka mabosi wa timu hiyo kukubali haraka ofa ya kumpiga bei nyanda huyo wa...
Isak awekewa ulinzi mkali Liverpool HALI ya afya ya straika ghali zaidi kwenye Ligi Kuu England, Alexander Isak itafuatiliwa kwa karibu zaidi na klabu yake mpya ya Liverpool wakati atakapokuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa ya...
Diaz afunguka kutua Bayern STAA Luis Diaz amesema amezungumza na kiungo ghali wa Liverpool, Florian Wirtz kuhusu Bundesliga kabla ya kukubali dili la kujiunga na Bayern Munich
Donnarumma anasubiri mlangoni Man United MANCHESTER United imepata tumaini jipya la kupata pesa kuiwezesha kumsajili Gianluigi Donnarumma kupitia Andre Onana anayesakwa na Inter Milan.
Mo Salah aipa ubingwa Arsenal STAA wa Liverpool, Mohamed Salah anaamini Arsenal inaweza kuwa kwenye nafasi bora zaidi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu, baada ya miaka mitatu ya kuambulia patupu licha ya kuwa...
Kipa Donnarumma awaibua mashabiki MASHABIKI wa soka wameishambulia Paris Saint-Germain wakidai wamefanya uhalifu mkubwa kwa kumpiga chini kipa Gianluigi Donnarumma na kumpanga Lucas Chevalier ambaye alifanya makosa ya kizembe...
Arsenal bana, eti waamini jezi itashinda MASHABIKI wa Arsenal wanaamini timu yao itaichapa Manchester United kwenye mchezo wao wa kwanza baada ya kubainisha jezi ambazo zitavaliwa na mastaa katika mechi hiyo ya Old Trafford.
Macho yote kwa Sesko, Gyokeres NI balaa. Manchester United na Arsenal zitapigana vikumbo wikiendi hii katika mechi yao ya kwanza ya Ligi Kuu England.
Mastaa Chelsea kuipa pesa familia ya Jota MASTAA wa Chelsea watachangia sehemu ya bonasi zao watakazolipwa baada ya kubeba ubingwa wa Kombe la Dunia la Klabu kwa familia ya mchezaji Diogo Jota, ambaye alifariki dunia akiwa na miaka 28.