Nyingine zajitokeza dili la Kobbie Mainoo LICHA ya uwepo wa vigogo, Real Madrid, Bayern Munich na hata Bayer Leverkusen wanaohitaji saini ya kiungo wa Manchester United, Kobbie Mainoo, Napoli pia imejitosa katika vita ya kuiwania huduma...
CR7 amchumbia demu wake baada miaka tisa SUPASTAA, Cristiano Ronaldo hatimaye amemchumbia mpenzi wake wa muda mrefu, mrembo Georgina Rodriguez.
Mikah afuta ubingwa Man City kisa Rodri BEKI wa zamani wa Manchester City, Micah Richards ameifuta timu hiyo kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu kwasababu kiungo Rodri atakuwa nje ya uwanja hadi Oktoba.
Neville ataka kipa mpya Man United GARY Neville amesema anaamini Manchester United ina ulazima wa kusajili kipa mpya kama inataka kumaliza ndani ya Top Six kwenye Ligi Kuu England msimu huu.
Fenerbahce yamtema Jose Mourinho Klabu ya Fenerbahce ya Uturuki imemfuta kazi kocha mkuu Jose Mourinho. Klabu hiyo yenye maskani yake jijini Istanbul imetoa taarifa mapema leo Ijumaa inayothibitisha kuondoka kwa kocha huyo wa...
Kufukuzwa kazi kumempa Mourinho Sh337 bilioni KOCHA Mreno, Jose Mourinho yuko karibu kufikisha Pauni 100 (takriban Sh337 bilioni) kama malipo ya fidia ya kufukuzwa kazi tangu aanze maisha ya ukocha.
Hebu sikieni kocha Amorim anachosema KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amekiri kwamba hafahamu kama ataendelea kuwa kocha wa timu hiyo, lakini mwenyewe amesisitiza hana mpango wa kung’atuka.
Carra: Gyokeres? Benchi lingemhusu GWIJI wa Ligi Kuu England na beki wa zamani wa Liverpool, Jamie Carragher anaamini kocha wa Arsenal, Mikel Arteta angemweka benchi straika Viktor Gyokeres kwenye kipute cha leo Jumapili huko...
Xavi Simons katua Spurs HATIMAYE, Xavi Simons amekamilisha uhamisho wake wa kutua kwenye Ligi Kuu England.
Guehi kuleta shida Januari 2026 BEKI wa kati wa Crystal Palace, Marc Guehi huenda akasababisha vita kali kwenye dirisha lijalo la usajili wa Januari baada ya vigogo kibao huko Ulaya kuhitaji huduma yake.