Jeshi la Polisi latoa uhakika wa usalama Kariakoo Dabi Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam limewahakikishia usalama wananchi katika mechi ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa kesho Jumatano Juni 25, 2025 huku ikiwaonya wenye lengo la...
Rashford atafuta nafasi Barcelona STAA, Marcus Rashford amesema anataka kwenda kujiunga na Barcelona ikiwa ni ujumbe wa kijanja anaotuma kwa Wahispaniola hao ‘njooni mnichukue’.
Esperance walia na ubora wakitupwa nje Kombe la Dunia Esperance imekiri kwamba ubora wa Chelsea dhidi yao umeamua kwa kiasi kikubwa matokeo ya mchezo baina yao katika mechi ya mwisho ya hatua ya makundi ya Kombe la Dunia la Klabu iliyochezwa...
Liverpool imemnasa Wirtz kibabe sana LIVERPOOL imepambana vita kali kwenye mchakamchaka wa kunasa saini ya kiungo mshambuliaji wa Kijerumani, Florian Wirtz ikifikia makubaliano ya kumsajili kwa ada ya Pauni 116 milioni.
Kisa Gyokeres Man United yamgeukia huyu MANCHESTER United wameonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa Eintracht Frankfurt, Hugo Ekitike, baada ya kufahamishwa Viktor Gyokeres anatamani zaidi kujiunga na Arsenal.
Liverpool yamgeukia Anthony Gordon LIVERPOOL inaangalia uwezekano wa kufanya dili la Pauni 100 milioni la kumsajili nyota wa Newcastle, Anthony Gordon.
Mgogoro Israel, Iran waua ndugu wa mshambuliaji Inter Milan STAA wa Inter Milan na timu ya taifa ya Iran, Mehdi Taremi ameshindwa kuungana na timu yake kwa kukosa usafiri wa kwenda Marekani kutokana na mgogoro unaoendelea baina ya nchi yao na Israel.
Onana atumika kumshawishi Mbeumo KIPA wa Manchester United, Andre Onana ameripotiwa kutumia muda wake mwingi kumshawishi mchezaji mwenzake wa Cameroon, Bryan Mbeumo kujiunga na chama hilo linalonolewa na Ruben Amorim baada ya...
Tuchel abariki mastaa England kuzomewa KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel aliwakosoa vikali wachezaji wake kwa ‘kuchezea moto’ katika ushindi mwembamba kwenye mechi ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Andorra usiku wa...
Ishu la Wirtz, Liverpool yakubali yaishe MABOSI wa Liverpool wanajiandaa kulipa Pauni 126 milioni ili kumnasa kiungo wa Bayer Leverkusen Florian Wirtz haraka iwezekanavyo.