Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8754 results for Mwandishi :

  1. Jeshi la Polisi latoa uhakika wa usalama Kariakoo Dabi

    Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam limewahakikishia usalama wananchi katika mechi ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa kesho Jumatano Juni 25, 2025 huku ikiwaonya wenye lengo la...

  2. Rashford atafuta nafasi Barcelona

    STAA, Marcus Rashford amesema anataka kwenda kujiunga na Barcelona ikiwa ni ujumbe wa kijanja anaotuma kwa Wahispaniola hao ‘njooni mnichukue’.

    RASHFORD Pict
  3. Esperance walia na ubora wakitupwa nje Kombe la Dunia

    Esperance imekiri kwamba ubora wa Chelsea dhidi yao umeamua kwa kiasi kikubwa matokeo ya mchezo baina yao katika mechi ya mwisho ya hatua ya makundi ya Kombe la Dunia la Klabu iliyochezwa...

    ESP Pict
  4. Liverpool imemnasa Wirtz kibabe sana

    LIVERPOOL imepambana vita kali kwenye mchakamchaka wa kunasa saini ya kiungo mshambuliaji wa Kijerumani, Florian Wirtz ikifikia makubaliano ya kumsajili kwa ada ya Pauni 116 milioni.

    LIVERPOOL Pict
  5. Kisa Gyokeres Man United yamgeukia huyu

    MANCHESTER United wameonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa Eintracht Frankfurt, Hugo Ekitike, baada ya kufahamishwa Viktor Gyokeres anatamani zaidi kujiunga na Arsenal.

    GYOKERES Pict
  6. Liverpool yamgeukia Anthony Gordon

    LIVERPOOL inaangalia uwezekano wa kufanya dili la Pauni 100 milioni la kumsajili nyota wa Newcastle, Anthony Gordon.

    LIVERPOOL Pict
  7. Mgogoro Israel, Iran waua ndugu wa mshambuliaji Inter Milan

    STAA wa Inter Milan na timu ya taifa ya Iran, Mehdi Taremi ameshindwa kuungana na timu yake kwa kukosa usafiri wa kwenda Marekani kutokana na mgogoro unaoendelea baina ya nchi yao na Israel.

    IRAN Pict
  8. Onana atumika kumshawishi Mbeumo

    KIPA wa Manchester United, Andre Onana ameripotiwa kutumia muda wake mwingi kumshawishi mchezaji mwenzake wa Cameroon, Bryan Mbeumo kujiunga na chama hilo linalonolewa na Ruben Amorim baada ya...

    ONANA Pict
  9. Tuchel abariki mastaa England kuzomewa

    KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel aliwakosoa vikali wachezaji wake kwa ‘kuchezea moto’ katika ushindi mwembamba kwenye mechi ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Andorra usiku wa...

    TUCHEL Pict
  10. Ishu la Wirtz, Liverpool yakubali yaishe

    MABOSI wa Liverpool wanajiandaa kulipa Pauni 126 milioni ili kumnasa kiungo wa Bayer Leverkusen Florian Wirtz haraka iwezekanavyo.

    LIVERPOOL Pict
Previous

Page 258 of 876

Next