Eti Amorim tayari, bado familia ya Glazer BOSI wa mchezo wa masumbwi wa Saudi Arabia, Turki Alashikh, anaonekana kufurahia kuondoka kwa Ruben Amorim katika klabu ya Manchester United.
Arsenal mpo? Sikieni hii ishu ya Arteta RIO Ferdinand ametoa kauli ya kushangaza akidai Mikel Arteta angefikiria kuchukua kazi ya Manchester United endapo angepigiwa simu, licha ya kuwa na malengo ya muda mrefu akiwa na kikosi...
Pigo City, Gvardiol avunjika mguu MANCHESTER City imethibitisha beki kisiki, Josko Gvardiol amevunjika mguu.
Chelsea yamtangaza kocha mpya Rosenior LIAM ROSENIOR ametangazwa rasmi kocha mkuu mpya wa Chelsea chini ya uongozi wa bilionea Todd Boehly na washirika wake.
AFCON 2025: Mwisho wa siku kila mtu ana kwao FAINALI za 35 za mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 kusaka taifa bingwa Afrika zinazoendelea huko Morocco zimeleta hisia nyingine kabisa ya uasili.
Mechi za funga kazi AFCON 2025 WAKATI Brahim Diaz wa Morocco akiandika rekodi ya kufunga katika mechi nne mfululizo za michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 jana na kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kunyakua tuzo...
TFF, Gamondi waitana mezani BAADA ya kuifikisha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars katika hatua ya 16 Bora ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 akiwa kama kocha wa mpito, Miguel Gamondi ameitwa haraka...
Misri ya Salah yatinga robo fainali Afcon 2025 MISRI imefuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya kufunga mabao mawili katika muda wa ziada, likiwemo moja kutoka kwa Mohamed Salah, na hivyo kuichapa Benin...
Cunha amtaka Zirkzee abaki STAA, Matheus Cunha amemwambia Joshua Zirkzee kuwa anapaswa kusahau wazo la kuondoka Manchester United na kujikita zaidi katika kusaidia timu.