KEVIN HART; Komediani mwenye pesa zake WIKIENDI iliyopita jina la Kevin Hart lilitikisa tena mitandaoni baada ya kampuni anayomiliki ya uzalishaji ya Hartbeat kutajwa kuwa moja ya taasisi za burudani zinazokua kwa kasi zaidi Marekani.
Arsenal, Liverpool vita nzito kumpigania Rodrygo Madrid LIVERPOOL na Arsenal zinajiandaa kutuma ofa Real Madrid dirisha la usajili la Januari kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa klabu hiyo na Brazil, Rodrygo, 24.
Kompyuta yatabiri… Bingwa Kombe la Dunia 2026 NI taifa gani unaloamini litaenda kubeba Kombe la Dunia 2026 huko Marekani? Bila ya shaka una mtazamo wako kuhusu nchi gani itaenda kutwaa taji hilo kubwa na lenye heshima zaidi katika mchezo...
Croatia yaihofu Ghana Kombe la Dunia 2026 KOCHA mkuu wa Croatia, Zlatko Dalić, anasema timu yake haitaimdharau Ghana licha ya Black Stars kuingia kwenye droo ya Kombe la Dunia 2026 wakiwa katika Pot Four na kushika nafasi ya 72 duniani.
Salah afunguka mazito akiichana Liverpool MSHAMBULIAJI wa Liverpool, Mohamed Salah ameishambulia timu yake na benchi la ufundi akieleza kwamba wanamtumpia lawama bila sababu kwani yeye siyo chanzo cha timu kufanya vibaya.
Xavi Simons aona mwezi Tottenham Hotspur ALIYEWAHI kuwa kocha wa Brentford, Thomas Frank, alipata ushindi dhidi ya klabu yake ya zamani baada ya Tottenham Hotspur kukatiza mwendo wa mechi tano bila ushindi kwa kuchukua pointi tatu...
Harry Kane hii sasa sifa, afanya kufuru Harry Kane alitoka benchi na kufunga hat-trick wakati Bayern Munich walipokuwa na ushindi mkubwa wa 5-0 dhidi ya VfB Stuttgart ushindi wao wa 72 ambao ni rekodi katika Bundesliga na kuongeza...
Baada ya kuangusha pointi, Arteta atoa neno zito Mikel Arteta amesisitiza kuwa vinara wa Ligi ya Premia, Arsenal, watarejea wakiwa bora zaidi baada ya fadhaa ya kipigo cha kustua cha 2-1 walichopata kutoka kwa Aston Villa, kilichofungua upya...
Una ushuzi? Ajira hii hapa changamka! KATIKA jamii nyingi hapa nchini na Afrika kwa ujumla suala la kushuta (kujamba) hadharani tena mbele ya waliokuzidi umri, huonekana kama ni kitendo cha kukosa heshima.
Durant staa wa nane NBA kufikia rekodi ya 31,000 KEVIN Durant amekuwa mchezaji wa nane katika historia ya Ligi ya Kikapu Marekani (NBA) kufikisha pointi 31,000, lakini simulizi tamu ni namna alivyofikia rekodi hiyo.