Harry Kane kawa mtamu kinyama yani! STRAIKA, Harry Kane ameripotiwa kuwa na pato linalofikia thamani ya Pauni 100 milioni kwa sasa huku hilo likinganishwa na thamani yake ya mabao anayofunga kila siku, yanayotajwa kuwa na thamani...
Liverpool yaandamwa na majeruhi kibao IDADI ya mastaa wanaosumbuliwa na majeraha katika kikosi cha Liverpool imezidi kuongezeka baada ya Jeremie Frimpong kupata jeraha la nyama za nyuma ya paja (hamstring) katika mechi dhidi ya...
Okocha: Ile ya Osimhen, Lookman safi sana NAHODHA wa zamani wa Super Eagles na fundi wa boli, Jay-Jay Okocha amesema mvutano uliopo kati ya Victor Osimhen na Ademola Lookman una manufaa makubwa kwa timu ya taifa ya Nigeria hasa katika...
Auba wa Gabon mambo mabaya SERIKALI ya Gabon imeivunja timu ya taifa, ikimpiga marufuku mshambuliaji Pierre-Emerick Aubameyang na kumfuta kazi kocha Thierry Mouyouma baada ya timu hiyo kutolewa kwenye Kombe la Mataifa ya...
Eti Amorim tayari, bado familia ya Glazer BOSI wa mchezo wa masumbwi wa Saudi Arabia, Turki Alashikh, anaonekana kufurahia kuondoka kwa Ruben Amorim katika klabu ya Manchester United.
Amad Diallo: Tunacheza kitimu zaidi WATETEZI Ivory Coast imejihakikisha kwa ustadi nafasi katika robo fainali za michuno ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya kuichapa Burkina Faso 3-0 katika Grand Stade de Marrakech,...
Beki Guehi analipwa kibosi Man City BEKI wa kati, Marc Guehi amekuwa mchezaji wa pili anayelipwa mshahara mkubwa zaidi Manchester City baada ya kujiunga na klabu hiyo.
Mastaa Man Utd waambiwa tiketi ya Ulaya ni lazima MASTAA wa Manchester United wameambiwa kwamba kufuzu michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ndio malengo ya timu hiyo kwa msimu huu.
Huyu Gallagher? Spurs watampenda tu MASHABIKI wa Tottenham Hotspur wameelezwa kwamba watampenda mara moja kiungo mchapakazi Conor Gallagher bila kujali historia yake Chelsea.
Rice: Nilikasirika sana kuikosa Aston Villa KIUNGO wa Arsenal, Declan Rice amekiri kuwa alikuwa “amekasirika sana” baada ya kukosa kucheza mechi ya timu yake dhidi ya Aston Villa kutokana na jeraha la goti.