Imefichuka! Arsenal ni wazee kuliko Man United HIVI unajua kuwa Arsenal ni wazee kuliko Manchester United?
KMC yaongoza ‘ligi’ ya kujiweka KIKOSI cha KMC kinajindaa kushuka uwanjani jioni ya kesho Jumatano ikiwa wenyeji wa Simba katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku ikiwa ni kama imekumbwa na mdudu mbaya, kwani licha ya kuanza vibaya...
Waache wauwane! Vita kali ya Arsenal, Man City msimamo EPL NDO hivyo. Arsenal na Manchester City weka niweke. Miamba hiyo imetofautiana pointi sita tu kwenye msimamo wa Ligi Kuu England, jambo linaloashiria kuwapo kwa vita kali katika kusaka ubingwa wa...
Ian Wright: Ona Mainoo anavyomtia aibu Amorim KOCHA, Ruben Amorim amekosolewa vikali kufuatia kurejea kwa kiwango cha juu kwa kiungo chipukizi wa Manchester United, Kobbie Mainoo, chini ya uongozi wa Michael Carrick.
Ronaldo anabipu watu wanampigia AL-Nassr hawatamzuia Cristiano Ronaldo iwapo nyota huyo mwenye hasira ataamua kushikilia msimamo wa kuondoka wakati wa dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi, huku kipengele cha kuvunja...
Guardiola awatishia nyau Arsenal PEP Guardiola ameapa kuwa Manchester City itaendelea ‘kupumua shingoni mwa Arsenal’ baada ya ushindi wao wa kushangaza wa dakika za mwishoni dhidi ya Liverpool uwanjani Anfield, Jumapili.
Esperance yamtema kocha, kisa kichapo cha Stade Malien KLABU ya Esperance de Tunis imethibitisha kuachana na kocha mkuu wao Maher Al-Kanzari kufuatia kipigo cha 1-0 ilichopata ugenini dhidi ya Stade Malien katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika...
Pyramids, Stade Malien zashinda zikienda robo fainali, Lupopo yaitibulia Mamelodi STADE Malien imeifunga Esperance na kujihakikishia nafasi ya kucheza robo fainali huku Pyramids ikitinga hatua hiyo kwa kishindo ikiichapa River United ya Nigeria kwa mabao 4-1.
CUNHA; Nyota wa Brazil anayejenga utajiri England KWA wiki kadhaa jina la Matheus Cunha limekuwa likitajwa sana na mashabiki wa soka hususani wa timu yake Manchester United kutokana na kiwango bora alichoonyesha tangu kuanza kwa msimu huu.