Chamberlain afichua siri ya Arteta Arsenal MCHEZAJI wa zamani wa Arsenal, Alex Oxlade-Chamberlain amesema wachezaji wengi wa timu hiyo walikuwa wakimchukulia Mikel Arteta kuwa kocha kabla ya mechi kubwa licha ya Arsene Wenger kuwa ndiye...
Van Dijk amtwisha lawama Chiesa BEKI wa kati na nahodha wa Liverpool, Virgil van Dijk ameelekeza lawama zake kwa Federico Chiesa baada ya bao la ushindi la Wolves katika dakika ya 94 uwanjani Molineux kwenye mchezo wa Ligi Kuu...
Sakata mkataba mpya wa Bruno Man United KIUNGO wa boli, Bruno Fernandes hatatafuta uhakika wa kuhusu usajili wa mastaa wake kwenye kikosi cha Manchester United kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi kabla ya kuamua mustakabali wake.
Osimhen kumrithi Harry Kane Bayern Munich BAYERN Munich inaripotiwa kuongeza kasi katika mpango wao wa kumsajili straika wa Galatasaray, Victor Osimhen, ikiwa ni katika kujiandaa na maisha bila ya staa wao Harry Kane ambaye umri...
Nigeria yagonga mwamba, FIFA yatoa orodha ya mwisho Kombe la Dunia 2026 SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limetoa orodha ya mwisho ya mataifa yatakayochuana katika michuano ya mchujo ya mabara (inter-confederation play-offs), huku Jamhuri ya Kidemokrasia ya...
Nicol amtema Slot, ‘ampigia debe’ Alonso Liverpool NGULI wa zamani wa Liverpool, Steve Nicol amebadili msimamo wake kuhusu mustakabali wa benchi la ufundi la klabu hiyo na sasa anamtaka Xabi Alonso kuchukua nafasi ya Arne Slot.
Zidane aweka msimamo, Chelsea na PSG wapigwa chini IMEFICHUKA. Baada ya Kocha Zinedine Zidane kuachana na Real Madrid, miamba ya England, Chelsea ilimfungia kazi kuipata huduma yake lakini akawakaushia.
Kwa hawa Halaand, Ronaldo wanasubiri WASHAMBULIAJI wawili wa Mexico wapo katika viwango vya juu zaidi vya mafanikio uwanjani ikiwa ni siku chache kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia 2026 wakiyazidi mabao baadhi ya majina...
Atletico Madrid yavunja rekodi hizi, ikiichapa Barca BAADA ya kupata ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya Barcelona, Atletico Madrid imevunja rekodi mbili zilizokuwa zimedumu kwa muda mrefu.
Kigogo Dortmund athibitisha ishu ya Sancho BOSI wa Borussia Dortmund, Lars Ricken ameweka wazi klabu hiyo bado ina nia ya kumsajili tena kwa mara ya tatu winga wa Manchester United, Jadon Sancho.