Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8731 results for Mwandishi :

  1. Chamberlain afichua siri ya Arteta Arsenal

    MCHEZAJI wa zamani wa Arsenal, Alex Oxlade-Chamberlain amesema wachezaji wengi wa timu hiyo walikuwa wakimchukulia Mikel Arteta kuwa kocha kabla ya mechi kubwa licha ya Arsene Wenger kuwa ndiye...

    ARTETA Pict
  2. Van Dijk amtwisha lawama Chiesa

    BEKI wa kati na nahodha wa Liverpool, Virgil van Dijk ameelekeza lawama zake kwa Federico Chiesa baada ya bao la ushindi la Wolves katika dakika ya 94 uwanjani Molineux kwenye mchezo wa Ligi Kuu...

  3. Sakata mkataba mpya wa Bruno Man United

    KIUNGO wa boli, Bruno Fernandes hatatafuta uhakika wa kuhusu usajili wa mastaa wake kwenye kikosi cha Manchester United kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi kabla ya kuamua mustakabali wake.

  4. Osimhen kumrithi Harry Kane Bayern Munich

    BAYERN Munich inaripotiwa kuongeza kasi katika mpango wao wa kumsajili straika wa Galatasaray, Victor Osimhen, ikiwa ni katika kujiandaa na maisha bila ya staa wao Harry Kane ambaye umri...

    OSIMHEN Pict
  5. Nigeria yagonga mwamba, FIFA yatoa orodha ya mwisho Kombe la Dunia 2026

    SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limetoa orodha ya mwisho ya mataifa yatakayochuana katika michuano ya mchujo ya mabara (inter-confederation play-offs), huku Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

    NIGERIA Pict
  6. Nicol amtema Slot, ‘ampigia debe’ Alonso Liverpool

    NGULI wa zamani wa Liverpool, Steve Nicol amebadili msimamo wake kuhusu mustakabali wa benchi la ufundi la klabu hiyo na sasa anamtaka Xabi Alonso kuchukua nafasi ya Arne Slot.

    SLOT Pict
  7. Zidane aweka msimamo, Chelsea na PSG wapigwa chini

    IMEFICHUKA. Baada ya Kocha Zinedine Zidane kuachana na Real Madrid, miamba ya England, Chelsea ilimfungia kazi kuipata huduma yake lakini akawakaushia.

  8. Kwa hawa Halaand, Ronaldo wanasubiri

    WASHAMBULIAJI wawili wa Mexico wapo katika viwango vya juu zaidi vya mafanikio uwanjani ikiwa ni siku chache kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia 2026 wakiyazidi mabao baadhi ya majina...

  9. Atletico Madrid yavunja rekodi hizi, ikiichapa Barca

    BAADA ya kupata ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya Barcelona, Atletico Madrid imevunja rekodi mbili zilizokuwa zimedumu kwa muda mrefu.

    ATLETICO Pict
  10. Kigogo Dortmund athibitisha ishu ya Sancho

    BOSI wa Borussia Dortmund, Lars Ricken ameweka wazi klabu hiyo bado ina nia ya kumsajili tena kwa mara ya tatu winga wa Manchester United, Jadon Sancho.

    SANCHO Pict
Previous

Page 212 of 874

Next