Kigogo Barca ataka kumrudisha Messi MGOMBEA wa urais wa Barcelona, Victor Font, amezungumza kuhusu dhamira yake ya kumrudisha lejendi wa klabu hiyo, Lionel Messi astaafu soka akiwa katika viunga hivyo na apate heshima ya kuagwa...
Maandalizi AFCON 2027, Kenya kuwasilisha Sh78 bilioni CAF SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), linatarajia kupokea dola milioni 30 (Sh78 bilioni) kutoka Kenya kama sehemu ya wajibu wa kifedha unaotokana na makubaliano ya kuandaa kwa pamoja Fainali za...
Osimhen sasa arejea kwenye rada za Atletico Madrid VICTOR Osimhen amerejea kwenye rada za Atletico de Madrid kama moja ya machaguo ya kuimarisha safu ya ushambuliaji.
Rice afichua alichoambiwa kuhusu London Derby KIUNGO ghali wa Arsenal, Declan Rice hakuwa hata na muda mrefu tangu kusaini kujiunga na The Gunners wakati Bukayo Saka alipomvuta pembeni na kuzungumza naye kuhusu umuhimu wa dabi ya Kaskazini...
Mara paap! Casemiro chama moja na Messi KIUNGO wa Kibrazili, Casemiro ameripotiwa kuzivutia klabu za Inter Miami pamoja na timu yake ya utotoni nchini Brazil.
Neymar agusia kustaafu soka SUPASTAA, Neymar ameashiria kuwa anaweza kustaafu soka ndani ya miezi michache ijayo.
Unambeza Carrick? Msikie anachosema MICHAEL Carrick ameamua kuvunja ukimya na kujibu vikali maoni yaliyotolewa na wachambuzi wa soka kumhusu, akiwemo nyota wa zamani wa Manchester United, Roy Keane.
Arsenal inavyojiweka katika rekodi mbaya EPL NDO hivyo. Arsenal ndio vinara wabovu zaidi wa Ligi Kuu England kuwahi kutokea katika muongo mmoja uliopita.
Mbio za ubingwa EPL, ukilala imekula kwako! MSIMAMO wa Ligi Kuu England unavyosoma, Arsenal bado ipo kileleni kwa tofauti ya pointi tano dhidi ya timu inayoshika nafasi ya pili, Manchester City.
Simulizi ya Osimhen inavyowapa moyo vijana choka mbaya WANASEMA kuzaliwa masikini ni jambo moja, lakini kufa ukiwa masikini ni jambo jingine.