Misri ya Salah yatinga robo fainali Afcon 2025 MISRI imefuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya kufunga mabao mawili katika muda wa ziada, likiwemo moja kutoka kwa Mohamed Salah, na hivyo kuichapa Benin...
Cunha amtaka Zirkzee abaki STAA, Matheus Cunha amemwambia Joshua Zirkzee kuwa anapaswa kusahau wazo la kuondoka Manchester United na kujikita zaidi katika kusaidia timu.
Slot amfikiria Ekitike gemu la Arsenal KOCHA wa Liverpool, Arne Slot ana matumaini kuwa straika Hugo Ekitike atakuwa fiti kiasi cha kutosha kuwakabili Arsenal baada ya kukosa uhakika kama staa huyo atarejea kwa wakati.
Chelsea yamuandalia ofa Vinicius Jr CHELSEA inadaiwa kuandaa ofa nono yenye thamani ya Euro 150 milioni kwa lengo la kuishawishi Real Madrid kumuachia winga wao mahiri wa kimataifa wa Brazil, Vinicius Jr, mwenye umri wa miaka 25.
Dili jipya la Kane lipo tayari mezani STRAIKA, Harry Kane amefichua kuwa mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya Bayern Munich yanatarajiwa kufanyika muda wowote kuanzia sasa.
Shabiki Senegal afariki akienda uwanjani SHABIKI mmoja wa Senegal alifariki dunia katika ajali ya gari siku ya Jumamosi akiwa njiani kwenda Tangier ili kuishangilia timu ya Simba wa Teranga katika mechi ya 16 Bora ya Kombe la Mataifa ya...
Madueke anavyompima ubavu Saka Arsenal HAKUNA kazi ngumu zaidi Arsenal kuliko kugombea namba na Bukayo Saka kwenye kikosi hicho cha kocha Mikel Arteta huko Emirates.
Kipigo cha Cameroon chamliza Hugo Broos AFRIKA Kusini ilipiga mashuti 18 langoni katika mechi ya 16-Bora juzi usiku dhidi ya Cameroon, lakini ikaweza kufunga bao moja tu, kitu kilichomfanya kocha wa timu hiyo kulia na wachezaji...
Shughuli imekamilishwa huko! Amorim atimuliwa MANCHESTER United imemfuta kazi Ruben Amorim baada ya kauli yake ya kuwakosoa mabosi.
Cardi B; Tajiri anayefukuzwa Marekani KUANZIA mwishoni mwa mwaka jana na mwanzoni mwa mwaka huu, jina la Cardi B limeendelea kutawala vichwa vya habari duniani, si tu kwa muziki wake bali kwa kile kinachoendelea katika mitandao ya...