Kofane kufuata nyayo za Roger Milla, Eto’o MSHAMBULIAJI kijana wa Cameroon, Christian Michel Kofane ameandika historia mapya katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), baada ya kung’ara akiwa na umri wa miaka 19 tu.
Diarra naye nje Afcon, Mali yachapwa na Senegal BAO la Iliman Ndiaye katika kipindi cha kwanza lilitosha kuipa Senegal ushindi dhidi ya Mali iliyokuwa na wachezaji 10 na hivyo kutinga nusu fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025...
Vigogo England vikumbo tu, vita bado mbichi kwa Guehi ARSENAL ipo tayari kuingia katika vita dhidi ya Manchester City na timu nyingine za Ligi Kuu England ili kuipata saini ya beki kisiki wa Crystal Palace na timu ya taifa ya England, Marc Guehi...
Gabriel Martinelli amwomba radhi Bradley WINGA wa Arsenal, Gabriel Martinelli amemwomba radhi Conor Bradley kutokana na jaribio lake la kumsukuma beki huyo wa Liverpool ili atoke nje ya uwanja wakati alipokuwa ameumia.
Enrique agomea mkataba mpya PSG KOCHA, Luis Enrique ameripotiwa kwamba ataachana na Paris Saint-Germain mwishoni mwa msimu huu baada ya kupuuzia kusaini mkataba mpya.
Mourinho awalaza mastaa mazoezini JOSE Mourinho amewataka mastaa wa Benfica kulala kwenye uwanja wa mazoezi baada ya kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa Braga.
Kwa hili...! Gyokeres ana kazi ya kufanya STRAIKA wa Arsenal, Viktor Gyokeres amekuwa gumzo baada ya kutoka kapa kwenye mechi ya Liverpool, huku takwimu zake za uwanjani zikizua mjadala.
Lookman afurahia changamoto kubwa MSHAMBULIAJI wa Nigeria, Ademola Lookman, amesema imani ya timu yake inaongezeka kila siku katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 huku Super Eagles wakijitayarisha kukutana na Algeria...
Mo Salah afichua jambo Morocco NAHODHA wa timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah ameshusha presha ya matarajio ya kuonekana kama timu inayopewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 huko...
Kila mbabe ana ubabe wake EPL LIGI Kuu England imefika patamu. Arsenal imeshindwa kutanua pengo la pointi kufikia nane kileleni kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kubanwa nyumbani ikishindwa kufungana na Liverpool uwanjani...