Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8709 results for Mwandishi :

  1. Hebu msikieni kocha Arne Slot

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amesema timu hiyo inaweza kupewa nafasi kubwa ya kubeba taji la Ligi Kuu England msimu huu, lakini hilo si kwa sababu ya pesa ambazo wametumia kusajili kwenye...

    SLOT Pict
  2. Matumizi ya pesa yamridhisha Slot

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amesema kuwa pesa nyingi zinazomwagwa na timu hiyo katika dirisha hili ni lazima zitumike ili wasiachwe nyuma.

    SLOT Pict
  3. Gyokeres, Havertz wampa mzuka Arteta

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta anaamini Viktor Gyokeres na Kai Havertz wanaweza kucheza pamoja baada ya wote kufunga mabao kwenye ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Athletic Bilbao katika mchezo wao...

  4. Isak bado ni pasua kichwa

    STRAIKA, Alexander Isak ameripotiwa kushikilia mpango wake wa kutaka kuachana na maisha ya St James’s Park licha ya kuzungumza na mabosi wakubwa wa Newcastle United.

  5. Madrid yataka saini ya Mainoo

    REAL Madrid imeripotiwa kuingia kwenye mbio za kunasa huduma ya kiungo anayetaka kuachana na Manchester United, Kobbie Mainoo.

  6. Kumbe kipa Grimsby imemuuma sana

    KIPA wa Grimsby Town, Christy Pym amewashangaza mashabiki kwa namna alivyokuwa akishangilia baada ya kuitupa nje Manchester United kwenye Kombe la Ligi, lakini kumbe jambo hilo limemuuma sana.

    KIPA Pict
  7. Viktor Gyokeres apewa maua yake

    STAA wa zamani wa Sporting CP, Cristiano Ronaldo anauhakika straika mwingine wa zamani wa Sporting, Viktor Gyokeres atafanya balaa kwa sababu hana shaka juu ya kiwango chake.

    GYOKERES Pict
  8. Jack Grealish avamia jezi ya Rooney

    JACK Grealish hatimaye amefanikiwa kukimbia benchi huko Manchester City baada ya kusajili mkataba wa mkopo wa msimu mmoja huko Everton.

    JACK Pict
  9. Duh! Eti avuliwe Odegaard avae Rice

    STAA wa zamani wa Arsenal, Anders Limpar ameungana na gwiji wa klabu hiyo, Tony Adams kutaka kiungo Martin Odegaard avuliwe kitambaa cha unahodha wa klabu hiyo.

    ODE Pict
  10. Droo Mabingwa Ulaya yadaiwa ni mchongo

    BAADHI ya mashabiki wa klabu za Ligi Kuu England wanaamini droo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ni kama kuna upangaji wa matokeo baada ya kuhusisha wachezaji kwenda kumenyana na timu zao za zamani...

    UEFA Pict
Previous

Page 186 of 871

Next