Hebu msikieni kocha Arne Slot KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amesema timu hiyo inaweza kupewa nafasi kubwa ya kubeba taji la Ligi Kuu England msimu huu, lakini hilo si kwa sababu ya pesa ambazo wametumia kusajili kwenye...
Matumizi ya pesa yamridhisha Slot KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amesema kuwa pesa nyingi zinazomwagwa na timu hiyo katika dirisha hili ni lazima zitumike ili wasiachwe nyuma.
Gyokeres, Havertz wampa mzuka Arteta KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta anaamini Viktor Gyokeres na Kai Havertz wanaweza kucheza pamoja baada ya wote kufunga mabao kwenye ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Athletic Bilbao katika mchezo wao...
Isak bado ni pasua kichwa STRAIKA, Alexander Isak ameripotiwa kushikilia mpango wake wa kutaka kuachana na maisha ya St James’s Park licha ya kuzungumza na mabosi wakubwa wa Newcastle United.
Madrid yataka saini ya Mainoo REAL Madrid imeripotiwa kuingia kwenye mbio za kunasa huduma ya kiungo anayetaka kuachana na Manchester United, Kobbie Mainoo.
Kumbe kipa Grimsby imemuuma sana KIPA wa Grimsby Town, Christy Pym amewashangaza mashabiki kwa namna alivyokuwa akishangilia baada ya kuitupa nje Manchester United kwenye Kombe la Ligi, lakini kumbe jambo hilo limemuuma sana.
Viktor Gyokeres apewa maua yake STAA wa zamani wa Sporting CP, Cristiano Ronaldo anauhakika straika mwingine wa zamani wa Sporting, Viktor Gyokeres atafanya balaa kwa sababu hana shaka juu ya kiwango chake.
Jack Grealish avamia jezi ya Rooney JACK Grealish hatimaye amefanikiwa kukimbia benchi huko Manchester City baada ya kusajili mkataba wa mkopo wa msimu mmoja huko Everton.
Duh! Eti avuliwe Odegaard avae Rice STAA wa zamani wa Arsenal, Anders Limpar ameungana na gwiji wa klabu hiyo, Tony Adams kutaka kiungo Martin Odegaard avuliwe kitambaa cha unahodha wa klabu hiyo.
Droo Mabingwa Ulaya yadaiwa ni mchongo BAADHI ya mashabiki wa klabu za Ligi Kuu England wanaamini droo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ni kama kuna upangaji wa matokeo baada ya kuhusisha wachezaji kwenda kumenyana na timu zao za zamani...