Panga kubwa lapita Arsenal ARSENAL imetoa orodha ya wachezaji wanaobaki na wanaoondoka ambayo inaonyesha kuna panga kubwa limewapitia mastaa 17.
Ronaldo rekodi zamiminika tu, sikia hii JANA Cristiano Ronaldo aliiongoza Ureno kushinda mechi ya nusu fainali ya Nations League dhidi ya Ujerumani na kumwezesha kuweka rekodi mbalimbali.
Bosi asema hii ya Wirtz ni aibu BOSI kubwa wa Borussia Dortmund, Hans-Joachim Watzke amekosoa uhamisho wa kiungo Florian Wirtz kuondoka Bayer Leverkusen kwenda kujiunga na Liverpool kuwa ni aibu kubwa Bundesliga kwa kupoteza...
He! Yamal amponza mrembo Hispania MREMBO mwenye ushawishi mkubwa mitandaoni, Fati Vazquez amefichua kutumiwa meseji za vitisho baada ya kuibuka uvumi kuwa kwenye uhusiano na kinda wa Barcelona, Lamine Yamal kufuatia picha...
Trent atoa siri ya Kihispania chake BEKI kisiki wa Real Madrid, Trent Alexander-Arnold amefichua alikuwa akijifunza Kihispania kwa ‘miezi kadhaa’ kabla hajajiunga na timu hiyo dirisha hili.
Mwanetu Joao Felix amepoa hapa! STAA wa Chelsea, Joao Felix hatimaye ameanza kutupia nyavuni baada ya kufanikiwa kumnasa mrembo matata kabisa wa Colombia, Valentina Rueda Velez.
Arsenal yapasua kichwa kwa Sesko ARSENAL inazidi kukatishwa tamaa na straika wa RB Leipzig, Benjamin Sesko juu ya madai yake ya mshahara anaohitaji ili kujiunga nao.
Kisa Nico, Bilbao yaifanyia vibaya Barca KATIKA harakati za kuhakikisha staa wao Nico Williams anabaki, ripoti zinaeleza Athletic Club inatarajia kuiripoti Barcelona kwa La Liga na kutaka wafanyiwe ukaguzi rasmi wa kifedha kwani...
Ronaldo kupewa miwili huko STAA wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo anatarajiwa kusaini mkataba mpya na Al Nassr ya Saudi Arabia ambao utamwezesha kusalia kwenye timu hiyo hadi mwaka 2027, licha ya tetesi zilizodai...
Mo Salah, Bruno wagombea tuzo MOHAMED Salah na Alexis Mac Allister wapo kwenye mchakamchaka wa kuwania tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Kulipwa huko England baada ya kuwa na msimu bora - lakini mashabiki wa Liverpool...