Makomandoo Yanga, Simba mita mia kwa Mkapa Jeshi la Polisi limeimarisha ulinzi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, huku makomandoo wa klabu za Yanga na Simba na wakilazimika kukaa umbali wa mita mia kutoka katika mageti ya uwanja huo.
DAH! Nico aiambia Bilbao ‘Naondoka’ WINGA Mhispaniola, Nico Williams ameiambia klabu yake ya Athletic Bilbao kwamba anataka kuhama kwenda kujiunga na Barcelona kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Bei ya Rodrygo yawekwa ubaoni REAL Madrid imeripotiwa kuweka ubaoni bei anayouzwa staa wao, Rodrygo anayesakwa na Arsenal kuwa ni Euro 90 milioni.
Chelsea Yachekelea Kane kuwabeba MASHABIKI wa Chelsea wanaamini kwamba timu yao imepata fursa nzuri ya kufika fainali ya Kombe la Dunia la Klabu huko Marekani kwa msaada wa makosa ya Harry Kane kukosa bao la wazi la kuifungia...
Rodri kupewa Juve, Mwalimu mzigoni KIUNGO, Rodri huenda akarejea uwanjani kuanza kwenye kikosi cha Manchester City kitakachochuana na Juventus katika mechi ya Kombe la Dunia la Klabu, Alhamisi
Nico Williams anukia Barca, Lamine atajwa STAA wa Athletic Bilbao, Nico Williams anaonekana kuwa njiani kuondoka katika timu hiyo dirisha lijalo la majira ya kiangazi na timu kibao zinahitaji huduma yake ikiwemo Barcelona.
Bayern Munich kuibania Arsenal kwa Sesko BAYERN Munich inaripotiwa kuwa na nia ya kumsajili Benjamin Sesko kama mrithi wa muda mrefu wa Harry Kane.
Maresca amwaminia fundi Cole Palmer KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca anaamini staa wa kikosi chake Cole Palmer atajipambanua miongoni mwa mastaa wakubwa kabisa kwenye soka la dunia wakati wa fainali za Kombe la Dunia la Klabu...
Spurs kumchukua Frank wa Brentford KOCHA Thomas Frank ameripotiwa kukubali kwenda kuwa kocha mpya wa Tottenham Hotspur.
Ten Hag amtaka Grealish pale kwa Wirtz STAA ghali Manchester City, Jack Grealish ameripotiwa kuwekwa kwenye orodha ya wachezaji ambao wanaweza kunaswa ili wakachukue mikoba ya Florian Wirtz huko Bayer Leverkusen.