Raphinha nusura aipige kibuti FC Barcelona STAA wa Kibrazili, Raphinha amefichua kwamba nusura aachane na Barcelona msimu uliopita, lakini ujio wa kocha Mjerumani Hansi Flick ulimbadili mawazo na kubaki Camp Nou.
He! Merino ataka aongezwe mshahara UMESIKIA hii? Staa mpya wa Arsenal, Mikel Merino anataka apandishiwe mshahara wake kutokana na sasa kufanya majukumu mengine kabisa tofauti na yaliyofanya asajiliwe.
Ishu ya Thiery Henry sababu ni hii KIGOGO wa zamani wa Arsenal, Keith Edelman amefichua sababu iliyoifanya klabu hiyo kumpiga bei supastaa wao Thierry Henry kwenda Barcelona mwaka 2007.
Garnacho kuwanunulia msosi mastaa wenzake Man United KINDA wa Manchester United, Alejandro Garnacho atawanunulia chakula cha usiku wachezaji wenzake kama “adhabu” kutokana na kitendo chake cha kuondoka kabisa Old Trafford baada ya kutolewa kwenye...
Antony ahama na kijiji Real Betis MASHABIKI wa Real Madrid wametamba kwamba mzuka wa winga wa Kibrazili, Antony umechangia timu hiyo kuvuruga mipango ya Real Madrid katika mbio za ubingwa wa La Liga msimu huu.
Amorim ataka wachezaji Man United wazomewe KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amekiri kuwa wachezaji wake waliopo Manchester United huenda wanahitaji kuzomewa na mashabiki ili kuwafanya warudi katika mstari.
Kigogo Man United atua Italia dili la Osimhen RIPOTI zimefichua kuwa wawakilishi wa Manchester United wamesafiri kwenda Italia kwa ajili ya kuzungumza na Napoli kuhusu uwezekano wa kuipata huduma ya straika wa timu hiyo na Nigeria, Victor...
Pogba adaiwa kusaini masika mbili Monaco KIUNGO Paul Pogba anajiandaa kurejea kwenye soka, ikiripotiwa kukubali dili la miaka miwili kwenye klabu ya AS Monaco ya Ufaransa.
Gundogan chochote kinaweza kutokea KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola amemfungulia milango ya kutokea kiungo Ilkay Gundogan dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi baada ya kukiri wachezaji wengi watauzwa.
PRIME Yanga yashusha kiungo, yamficha kambini YANGA wakati inapiga hesabu za kukutana na Simba, imeendelea na akili ya kukiboresha kikosi na kule kambini kuna mido wa kazi amefichwa akijifua taratibu.