Alexander Isak aachwa safari ya Singapore STRAIKA, Alexander Isak amepigwa chini kwenye kikosi cha Newcastle United kilichosafiri kwenda Singapore kwenye ziara yao ya mechi za pre-season.
Rashford aibua wasiwasi Barca SUPASTAA, Marcus Rashford huenda akashindwa kuichezea Barcelona hata baada ya kujiunga na miamba hiyo ya LaLiga.
Rashford ana masharti 10 Barcelona SUPASTAA, Marcus Rashford anakaribia kukamilisha uhamisho wake wa kujiunga na Barcelona lakini ili kwenda kufanikiwa huko, itamlazimu kufuata sheria hizi 10.
Arteta afunguka kipigo cha Spurs KOCHA, Mikel Arteta amesema kichapo ilichokipata kutoka kwa mahasimu wao Tottenham Hotspur kwenye mechi ya kirafiki huko Hong Kong kinawaamsha kwamba wanapaswa kuongeza nguvu kwenye maandalizi...
Chelsea yasajili mabeki Pauni 360m KUWASILI Kwa Jorrel Hato kwa ada ya Pauni 37 milioni kwenye kikosi cha Chelsea kimefanya miamba hiyo ya Stamford Bridge kuweka rekodi ya kutumia Pauni 360 milioni kusajili mabeki chini ya mmiliki...
Thoms Partey ana dili mezani ALIYEKUWA kiungo wa Arsenal, Thomas Partey yupo kwenye hatua za mwisho kabisa za kukamilisha dili lake la kujiunga na Villarreal, imeelezwa.
Shearer: Isak? Kama vipi aende GWIJI wa Newcastle United, Alan Shearer ameonyesha hasira zake juu ya mpango wa Liverpool kumsajili Alexander Isak baada ya kuchati kwenye grupu la WhatsApp ambalo yupo pia Gary Lineker.
New Trafford... Bosi afichua shida ilipo MANCHESTER United inafikiria mambo mawili katika vita yao ya kupata kipande cha ardhi kinachodaiwa ndicho kinachochelewesha kuanza kwa ujenzi wa uwanja mpya wa Pauni 2 bilioni.
Lookman acharuka, agomea kuondoka Atalanta MCHEZAJI Mnigeria, Ademola Lookman amewashambulia kwa maneno makali mabosi wa Atalanta baada ya kuzuia uhamisho wake wa Pauni 39 milioni kwenda kujiunga na Inter Milan.
Amorim ataka kumrudisha Sancho, Garnacho KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amethibitisha kuwa yuko tayari kuwarudisha wachezaji waliopewa ruhusa ya kuondoka katika dirisha ikiwa itashindikana kuuzwa katika dirisha hili la majira...