Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8704 results for Mwandishi :

  1. De Bruyne moja haikai, mbili haikai

    KIUNGO fundi wa mpira, Kevin De Bruyne ameripotiwa kwamba bado hajafanya uamuzi wa mwisho kama atakwenda kuichezea Manchester City kwenye michuano ijayo ya Kombe la Dunia la Klabu mwezi ujao.

    KDB Pict
  2. Tajiri Man United amtega Amorim

    MMILIKI mwenza wa Manchester United, bilionea Sir Jim Ratcliffe yupo tayari kumpatia kila kitu kocha Ruben Amorim ili kuibadili timu hiyo lakini anachotaka ni uhakika kwamba Mreno huyo anabaki.

    TAJIRI Pict
  3. Guardiola kubeba wawili kwa Pauni 180 milioni

    NDO hivyo. Manchester City ipo tayari kutumia Pauni 180 milioni ili kuwanasa Florian Wirtz na Tijjani Reijnders kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia la Klabu mwezi ujao.

    GUARDIOLA Pict
  4. Kete ya mwisho WPL leo, matokeo kuamua bingwa

    MZUNGUKO wa mwisho wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) msimu wa 2024-2025 unahitimishwa leo Mei 20, 2025 kwa mechi tano kuchezwa huku Mlandizi Queens na Gets Program zikiwa tayari zimeshuka daraja.

  5. Mastaa wa kuokota Ligi Kuu England

    KLABU za Ligi Kuu England zitakuwa bize kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi, huku kukitarajiwa kuwapo na dili kibao za wachezaji wa bei chee.

    MASTAA Pict
  6. Slot aachiwa Florian Wirtz mwenyewe tu

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amepata nguvu mpya kwenye msako wao wa kumnasa kiungo mshambuliaji, Florian Wirtz baada ya Manchester City kujiondoa kwenye mchakato huo.

    SLOT Pict
  7. Arsenal mpo? Msikieni ndugu yake Gyokeres

    MMOJA wa wanafamilia ya straika Viktor Gyokeres amedai anaamini staa ataendelea kubaki kwenye kikosi cha Sporting CP licha ya kuhusishwa kwenda Arsenal.

  8. Mashine ya mabao yatua Liverpool

    LIVERPOOL imemnasa staa wao wa Pauni 79 milioni, straika Hugo Ekitike ikinyakua saini yake kutoka kwenye klabu ya Eintracht Frankfurt.

    MASHINE Pict
  9. Ishu ya Son ipo hivi Spurs

    TOTTENHAM Hotspur inapiga hesabu za kukubali ofa ya Pauni 15 milioni kwa ajili ya kumpiga bei nahodha wao Son Heung-min baada ya staa huyo kuwindwa na miamba ya Marekani, LAFC.

    SON Pict
  10. Mourinho awapiga kijembe Chelsea

    JOSE Mourinho ameipiga kijembe Chelsea kwamba kushinda ubingwa wa Kombe la Dunia la Klabu ni muhimu kwao, lakini upande wake alitazama michuano hiyo kama vile ambavyo mara zote amekuwa akienda...

    MOURINHO Pict
Previous

Page 179 of 871

Next