De Bruyne moja haikai, mbili haikai KIUNGO fundi wa mpira, Kevin De Bruyne ameripotiwa kwamba bado hajafanya uamuzi wa mwisho kama atakwenda kuichezea Manchester City kwenye michuano ijayo ya Kombe la Dunia la Klabu mwezi ujao.
Tajiri Man United amtega Amorim MMILIKI mwenza wa Manchester United, bilionea Sir Jim Ratcliffe yupo tayari kumpatia kila kitu kocha Ruben Amorim ili kuibadili timu hiyo lakini anachotaka ni uhakika kwamba Mreno huyo anabaki.
Guardiola kubeba wawili kwa Pauni 180 milioni NDO hivyo. Manchester City ipo tayari kutumia Pauni 180 milioni ili kuwanasa Florian Wirtz na Tijjani Reijnders kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia la Klabu mwezi ujao.
Kete ya mwisho WPL leo, matokeo kuamua bingwa MZUNGUKO wa mwisho wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) msimu wa 2024-2025 unahitimishwa leo Mei 20, 2025 kwa mechi tano kuchezwa huku Mlandizi Queens na Gets Program zikiwa tayari zimeshuka daraja.
Mastaa wa kuokota Ligi Kuu England KLABU za Ligi Kuu England zitakuwa bize kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi, huku kukitarajiwa kuwapo na dili kibao za wachezaji wa bei chee.
Slot aachiwa Florian Wirtz mwenyewe tu KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amepata nguvu mpya kwenye msako wao wa kumnasa kiungo mshambuliaji, Florian Wirtz baada ya Manchester City kujiondoa kwenye mchakato huo.
Arsenal mpo? Msikieni ndugu yake Gyokeres MMOJA wa wanafamilia ya straika Viktor Gyokeres amedai anaamini staa ataendelea kubaki kwenye kikosi cha Sporting CP licha ya kuhusishwa kwenda Arsenal.
Mashine ya mabao yatua Liverpool LIVERPOOL imemnasa staa wao wa Pauni 79 milioni, straika Hugo Ekitike ikinyakua saini yake kutoka kwenye klabu ya Eintracht Frankfurt.
Ishu ya Son ipo hivi Spurs TOTTENHAM Hotspur inapiga hesabu za kukubali ofa ya Pauni 15 milioni kwa ajili ya kumpiga bei nahodha wao Son Heung-min baada ya staa huyo kuwindwa na miamba ya Marekani, LAFC.
Mourinho awapiga kijembe Chelsea JOSE Mourinho ameipiga kijembe Chelsea kwamba kushinda ubingwa wa Kombe la Dunia la Klabu ni muhimu kwao, lakini upande wake alitazama michuano hiyo kama vile ambavyo mara zote amekuwa akienda...