Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Mastaa wa kuokota Ligi Kuu England

MASTAA Pict
MASTAA Pict

Muktasari:

  • Sambamba na hilo kuna mastaa kibao pia wanatazamiwa kuachana na timu zao msimu utakapomalizika kutokana na mikataba yao kufika tamati.

LONDON, ENGLAND: KLABU za Ligi Kuu England zitakuwa bize kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi, huku kukitarajiwa kuwapo na dili kibao za wachezaji wa bei chee.

Sambamba na hilo kuna mastaa kibao pia wanatazamiwa kuachana na timu zao msimu utakapomalizika kutokana na mikataba yao kufika tamati.

Kwa maana hiyo, wachezaji hao watakuwa wanapatikana bure kabisa sokoni wakati dirisha la usajili litakapofunguliwa.

Kuna mastaa 66 kwenye Ligi Kuu England, ambao watapatikana bure kabisa kwenye dirisha lijalo la usajili kutokana  na mikataba yao kufika tamati kwenye timu wanazochezea kwa sasa.

Arsenal; Jorginho, Thomas Partey.

Aston Villa; Kortney Hause, Robin Olsen

Brentford; Josh Dasilva, Ben Mee

Brighton; Tariq Lamptey, James Milner

Chelsea; Lucas Bergstrom

Crystal Palace; Nathaniel Clyne, Joel Ward, Remi Matthews

Everton; Dominic Calvert-Lewin, Abdoulaye Doucoure, Michael Keane, Idrissa Gueye, Joao Virginia, Ashley Young, Seamus Coleman, Joao Virginia, Asmir Begovic, Mason Holgate, Neal Maupay

Fulham; Kenny Tete, Carlos Vinicius, Tom Cairney, Willian

Ipswich; Axel Tuanzebe, Cameron Burgess, Massimo Luongo, Marcus Harness, Elkan Baggott

Leicester City; Jamie Vardy, Danny Ward, Daniel Iversen

Liverpool; Trent Alexander-Arnold, Harvey Davies

Man City; Kevin De Bruyne, Scott Carson

Man United; Victor Lindelof, Christian Eriksen, Jonny Evans, Tom Heaton

Newcastle United; Callum Wilson, Jamal Lewis, Mark Gillespie, John Ruddy

Nottingham Forest; Harry Toffolo, Willy Boly, Wayne Hennessey

Southampton; Kyle Walker-Peters, Adam Lallana, Joe Lumley

Tottenham; Sergio Reguilon, Fraser Forster, Alfie Whiteman, Ben Davies

West Ham; Danny Ings, Vladimir Coufal, Michail Antonio, Lukasz Fabianski, Aaron Cresswell, Kurt Zouma

Wolves; Nelson Semedo, Pablo Sarabia, Craig Dawson