Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8703 results for Mwandishi :

  1. Staa wa Arsenal afutiwa kadi nyekundu

    KADI nyekundu aliyoonyeshwa mchezaji wa Arsenal, Myles Lewis-Skelly imeripotiwa ilitolewa kimakosa na sasa adhabu yake imefutwa, FA imetangaza.

  2. Mabosi Madrid macho kodo kwa kiungo Enzo

    REAL Madrid imepanga kufanya usajili wa kushtua wa kuvamia kwenye kambi ya Chelsea kwenda kunasa saini ya kiungo Enzo Fernandez, imeelezwa.

  3. Refa wa Arsenal atumiwa meseji mbaya, zachunguzwa

    POLISI imeanzisha uchunguzi baada ya mwamuzi wa soka Michael Oliver kutumiwa meseji za vitisho.

  4. Emery kuikazia Arsenal kwa Watkins

    LICHA ya Arsenal kuwa na matumaini makubwa ya kuipata saini ya Ollie Watkins, Kocha wa Aston Villa, Unai Emery amedhamiria kumbakisha baada ya Jhon Duran kuwa katika hatua za mwisho kuuzwa Al Nassr.

  5. Amorim, Rashford vita bado mbichi

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amefunguka tena kuhusu maendeleo ya mshambuliaji wa timu hiyo, Marcus Rashford na uwezekano wa kurudishwa kikosi cha kwanza.

  6. Emery adai Rashford yupo moto mazoezini

    KOCHA wa Aston Villa, Unai Emery amesema amevutiwa na kiwango cha mazoezi ya mchezaji Marcus Rashford hivyo kuna uwezekano mkubwa akampa nafasi ya kucheza mechi yake ya kwanza kwenye kikosi...

  7. Giggs aanika ishu ya Rashford

    LEJENDI wa Manchester United, Ryan Giggs, amesema mshambuliaji wa timu hiyo, Marcus Rashford ambaye kwa sasa anacheza kwa mkopo Aston Villa lazima akubali kujitoa na kuupenda tena mpira wa miguu...

    Giggs Pict
  8. Sergio Ramos apata timu Mexico

    BEKI wa mpira, Sergio Ramos ameripotiwa kushtua wengi kwa uhamisho wake wa kwenda Mexico bila ya mkewe mrembo Pilar Rubio.

    Ramos Pict
  9. Rashford bado ana jambo Nou Camp

    MSHAMBULIAJI wa Manchester United anayecheza kwa mkopo Aston Villa, bado hajakata tamaa kuhusu ndoto yake ya kuhamia Barcelona licha ya mkurugenzi wa michezo wa klabu hiyo, Deco, kusema wiki hii...

    Rashford Pict
  10. Benitez ampeleka Trent Bernabeu

    ALIYEKUWA kocha wa Liverpool, Rafa Benitez amekiri beki Trent Alexander-Arnold atakwenda kuwa moto zaidi kwenye kikosi cha Real Madrid, wakati huu uvumi ukiwa mkubwa juu ya mpango wa kwenda...

    Benitez Pict
Previous

Page 174 of 871

Next