Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

3902 results for Mwandishi Wetu :

  1. Mzigo mpya EPL hewani leo!

    LIGI Kuu England imethibitisha kwamba itaweka hadharani ratiba ya msimu wa 2025/26, leo Jumatano.

    RATIBA Pict
  2. Juventus yajitosa dili la Viktor Gyokeres, yaweka ofa mezani

    JUVENTUS imemwekea mezani mshambuliaji wa Sporting, Viktor Gyokeres, ofa ya mshahara wa Pauni 11 milioni kwa mwaka, ili kumsajili katika dirisha hili.

    TETESI Pict
  3. Bosi Mamelodi awaza kupenya kundi gumu

    KOCHA wa Mamelodi Sundowns, Miguel Cardoso amesema itakuwa mafanikio makubwa kwa timu yake endapo itapenya kwenye Kundi F, alilolitaja kuwa ni la kifo katika fainali za Kombe la Dunia la Klabu...

    MAMELODI Pict
  4. Jude Bellingham apewa ujanja Real Madrid

    KIUNGO Jude Bellingham amepewa ujanja kuhakikisha anarudi kwenye ubora wake kwa haraka kwa sababu kocha mpya wa Real Madrid, Xabi Alonso anaweza kumchezesha kwenye nafasi anayotaka.

    JUDE Pict
  5. Mashabiki wasusia gemu ya Chelsea

    CHELSEA imetupa kete ya kwanza kwenye fainali za Kombe la Dunia la Klabu huko Marekani dhidi ya Los Angeles FC usiku wa Jumatatu ikicheza kwenye uwanja wenye siti tupu kibao huko Atlanta.

    MASHABIKI Pict
  6. Bosi asema hii ya Wirtz ni aibu

    BOSI kubwa wa Borussia Dortmund, Hans-Joachim Watzke amekosoa uhamisho wa kiungo Florian Wirtz kuondoka Bayer Leverkusen kwenda kujiunga na Liverpool kuwa ni aibu kubwa Bundesliga kwa kupoteza...

    BOSI Pict
  7. Maresca amwaminia fundi Cole Palmer

    KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca anaamini staa wa kikosi chake Cole Palmer atajipambanua miongoni mwa mastaa wakubwa kabisa kwenye soka la dunia wakati wa fainali za Kombe la Dunia la Klabu...

    MARESCA Pict
  8. Hawa jamaa ndo kiboko ya nyavu za uwanjani tangu mwaka 2000

    RAHA ya mechi bao, wanasema. Ndivyo ilivyo na ndio maana kwenye mchezo wa soka kila siku kumekuwa na marekebisho ya sheria mbalimbali ili kuona mechi zinakuwa na mvuto hasa kwenye ishu ya mabao...

    NYAVU Pict
  9. Mastaa nane kupigwa bei aje Gyokeres

    JUVENTUS imepanga kupiga bei mastaa wanane akiwamo straika Dusan Vlahovic na kiungo Douglas Luiz ili kumudu mshahara wa mchezaji mpya inayemtaka Viktor Gyokeres.

    MASTAA Pict
  10. Hojlund kuuzwa, Zirkzee kubaki

    MANCHESTER United imeripotiwa kuchukua uamuzi wa kumpiga chini Rasmus Hojlund, lakini Joshua Zirkzee atabaki kwenye kikosi hicho cha miamba ya Old Trafford.

    MAN UTD Pict
Previous

Page 18 of 391

Next