Real Madrid yaweka Pauni 120 Bilioni kwa Diomande REAL Madrid imefikia makubaliano ya kumsajili winga chipukizi wa RB Leipzig, Yan Diomande, katika dili linaloweza kufikia euro 140milioni (takribani Pauni milioni 120), baada ya mazungumzo ya...
Real Madrid kuwaachia Camavinga, Tchouameni REAL Madrid ipo tayari kuwauza viungo wake wawili wa kimataifa wa Ufaransa, Eduardo Camavinga na Aurelien Tchouameni, ili kupata fedha za kufanikisha usajili wa kiungo na nahodha wa Hispania wa...
Gianni Infantino agoma kujiuzulu RAIS wa FIFA Gianni Infantino amekataa kujiuzulu, huku akipewa kile kilichoelezwa kuwa ni uungwaji mkono kamili kutoka kwa viongozi wa juu wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), hatua...
Kisa Vinicius Jr, Real Madrid yaweka mezani Pauni 19 milioni REAL Madrid inaonekana kuwa na imani kubwa ya kuzima kabisa nia ya Arsenal ya kumsajili nyota wao wa Brazil, Vinicius Jr, baada ya kumwekea mezani ofa mpya ya mkataba wenye nyongeza ya thamani...
Everton yamnasa nyota wa Arsenal EVERTON imeendelea kujiimarisha kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu England baada ya kukamilisha usajili wa kiungo Christian Norgaard kutoka Arsenal kwa mkataba wa miaka miwili, huku ada ya uhamisho...
Simba yaipiku Yanga CAF Vigogo wa soka Tanzania, Young Africans (Yanga) na Simba SC, wameendelea kudhihirisha ubora wao katika soka la Afrika baada ya kushika nafasi ya 11 na 12 mtawalia katika Viwango vya Ubora vya...
Ronaldo ana magari ya Sh80 bilioni CRISTIANO Ronaldo ameendelea kuthibitisha kuwa yeye si mfalme wa mabao pekee, bali pia ni miongoni mwa wanamichezo wenye maisha ya kifahari zaidi duniani baada ya kuwaonyesha mashabiki wake...
KISIWA CHA MAUTI - 10 ILIPOISHIA Sikumjibu kitu. Nililishika gazeti hilo la pili ambalo ni la kampuni niliyokuwa ninafanya kazi. Habari kama ile niliyoisoma ndiyo iliyokuwa katika ukurasa wa mbele. Mwandishi...
Rulani Mokwena ageuza upepo Misri KOCHA Rulani Mokwena ameanza kujizolea sifa nchini Misri baada ya kutajwa kuwa miongoni mwa makocha wanaoongoza mapinduzi ya soka la nchi humo kuelekea msimu wa 2026/27, huku falsafa ya makocha...
Ibenge ashindwa kujiunga na kambi ya Azam Rwanda KAMA inavyofahamika kuwa kikosi cha Azam FC kiko nchini Rwanda kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao 2026-2027, lakini habari mpya ni kwamba kocha mkuu, Florent Ibenge raia wa DR Congo, wasaidizi...