Man City kicheko, Man U inazama LIGI Kuu England iliendelea wikiendi ambapo mchezo wa mapema ulikuwa kati ya Burnely na Liverpool uliomalizika kwa Majogoo kushinda bao 1-0 lililopatikana katika dakika za jiooni kupitia mkwaju...
Maresca alazimisha Joao Pedro kucheza KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amefichua amemwanzisha mchezaji Joao Pedro dhidi ya Brentford kwa lazima licha ya mchezaji huyo kuomba asianze katika mechi hiyo.
Kisa Amorim, mastaa Man United wapishana sehemu MASUPASTAA wa Manchester United wameripotiwa kuvurugwa na kocha Ruben Amorim baada ya kuwashushia lawama viwango vyao vibovu uwanjani vimefanya wafanyakazi wengine wa klabu hiyo kupunguzwa kazini.
Kiungo Harambee Stars, Ouma ajiunga na Slavia Prague ya Czech. Kiungo wa Harambee Stars, Timothy Ouma, amejiunga na klabu ya Slavia Prague ya Czech kwa mkataba wa miaka minne. Mabingwa hawa mara 21 wa Ligi Kuu ya Czech walitangaza usajili wa Ouma mwenye umri...
VAR ilivyoibeba Man United bao la jioooni RUUD van Nistelrooy amefyumu baada ya kikosi chake cha Leicester City kutupwa nje ya Kombe la FA kwa bao la utata kwenye dakika za majeruhi dhidi ya Manchester United uwanjani Old Trafford juzi...
Vini Jr agomea mkataba Madrid LISEMWALO ni Vinicius Junior amegomea mkataba mpya Real Madrid jambo linalozidi kuchochea uvumi wake wa kutimkia Saudi Arabia, imeelezwa.
Refa wa Arsenal apewa gemu ya Barca Ulaya MWAMUZI, Michael Oliver ataonekana tena uwanjani kucheza mechi ya soka licha ya kuripotiwa kutumiwa meseji za vitisho kutokana na tukio lake la kumtoa kwa kadi nyekundu nyota wa Arsenal, Myles...
Ten Hag kupewa mchongo Feyenoord ERIK ten Hag muda wowote simu yake inaweza kuita kwa ajili ya kupewa mchongo wa kwenda kuinoa Feyenoord ya huko kwao Uholanzi, imeelezwa.
Virgil van Dijk amvaa staa wa Everton NAHODHA wa Liverpool, Virgil van Dijk, amemuonya kiungo wa Everton, Abdoulaye Doucoure, kwa kuanzisha ugomvi uwanjani wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu England, usiku wa jana Jumatano.
Vinicius akutana na matajiri wa Saudia STAA wa Real Madrid, Vinicius Junior anaripotiwa kukutana na maafisa kutoka Ligi Kuu ya Saudi Arabia wanaojaribu kutaka kumsajili dirisha lijalo.