Crouch, Keown wabishana kuhusu Eze wa Arsenal NOMA sana. Staa, Eberechi Eze ameambiwa kuwa Mikel Arteta “hamkubali sana” kufuatia kikosi hicho kubanwa na Brentford katika mchezo wa Ligi Kuu England uliofanyika Alhamisi iliyopita.
CR7 kufungua baa, hoteli huko England SUPASTAA Cristiano Ronaldo amefichua mpango wake wa kupanua biashara yake ya hoteli na baa huko England.
Real Madrid yatoa majibu kuhusu Endrick ARSENAL, Chelsea na Tottenham Hotspur zimeambiwa aziwezi kumpata mshambuliaji chipukizi wa Brazil, Endrick, 19, katika dirisha lijalo la kiangazi.
Kawhi ndani ya 10 bora wanaowania MVP NBA ACHANA na bonge la mechi linalochezwa leo, Jumapili, la mastaa wa Ligi ya Kikapu Marekani (NBA) maarufu All-Star Game 2026, nyuma ya mtangange huo kuna lile vaibu ambalo bado linaendelea kusaka...
FOBA: Salim, Mshery mbona suala la muda! ISSA Fofana, Aishi Manula na Zubeir Foba wanagawana dakika tu ndani ya Azam FC, wote wakiwa na lengo moja; kuhakikisha timu hiyo inafikia malengo iliyojiwekea.
AJE ASIJE! Uchambuzi wa kocha mmoja mmoja wanaosakwa Man United SAFARI ya Thomas Tuchel kwenda Manchester United sasa imefikia mwisho.
Bilionea Marinakis yupo sokoni kusaka kocha mpya Forest SI jambo la kushangaza kwa wengi kwamba Nottingham Forest wanatafuta kocha mwingine.
HAKUNA NAMNA! Rashford mmoja anavyoweka ubaoni mastaa sita Barca RAIS wa Barcelona, Joan Laporta na mkurugenzi wa michezo Deco, wanadaiwa kuwa na imani ya kwamba wanafanya uamuzi sahihi kwa kumsajili Marcus Rashford kwa mkataba wa kudumu mwishoni mwa mkopo...
Robert Lewandowski asubiri uchaguzi kuamua hatma yake MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski, 37, ameamua kusubiri matokeo ya uchaguzi wa urais wa Barcelona unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao kabla ya kufanya uamuzi kuhusu...