VAR yaivurugia Benin AFCON 2025, yashindwa kufanya kazi
Mechi ya Kundi C katika Fainali za AFCON 2025 kati ya DR Congo na Benin, iliyochezwa leo Jumanne, Desemba 23, 2025 kwenye Uwanja wa Al Madina nchini Morocco, imebaki na mjadala mkubwa baada ya...