Arteta ataja janga jingine huko KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amethibitisha kuwa Arsenal imepata pigo jingine la majeraha baada ya staa wao aliyesajiliwa katika dirisha lililopita la majira ya kiangazi, Cristhian Mosquera...
Man United yashusha bili ya mishahara BILI ya mishahara ya Manchester United imeshuka kwa hesabu za robo ya kwanza ya mwaka wa fedha.
New Caledonia, Jamaica kuamua DR Congo kushiriki Kombe la Dunia 2026 DR Congo itasubiri mshindi kati ya New Caledonia na Jamaica ili kucheza nayo katika mechi ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 kupitia mchujo wa mabara (inter-confederation play-offs).
Pep Guardiola, Bruno Guimaraes wazinguana KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola aliingia katika majibizano na staa wa Newcastle, Bruno Guimaraes, maofisa wa mechi na mpigapicha baada ya timu yake kupoteza kwa mabao 2-1 katika mechi...
Antonio Conte achimba mkwara Napoli KOCHA, Antonio Conte ameripotiwa kuibua shaka kubwa kuhusu hatima yake kwenye kikosi cha Napoli baada ya kuwa mbogo kufuatia kichapo cha kutoka kwa Bologna kwenye mchezo wa Serie A uliofanyika...
Amorim ajibu tuhuma za Cristiano Ronaldo Kocha wa Manchester United, Ruben Amorim amejibu ukosoaji uliotolewa mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo, Cristiano Ronaldo, mapema wiki hii.
Nne za Afrika zafuzu 16 bora Kombe la Dunia chini ya miaka 17 Nchi nne za Afrika zimefanikiwa kufuzu hatua ya Raundi ya 16 ya Kombe la Dunia la FIFA la Vijana chini ya miaka 17 nchini Qatar.
Terry aibua upya suala la Abramovich ALIYEKUWA beki wa kati wa Chelsea, John Terry ameamua kuishambulia serikali ya Uingereza baada ya kumlazimisha bilionea Roman Abramovich kuipiga bei The Blues baada ya Russia kuivamia kijeshi...
Rio: Huyu Mbeumo ni kama mzaha tu! GWIJI wa Manchester United, Rio Ferdinand amemtaja nyota wa Cameroon, Bryan Mbeumo kama 'mzaha' (yaani mchezaji wa ajabu sana) kutokana na mwanzo wake wenye ushawishi katika maisha mapya Old...
Gabriel Jesus afichua jambo Arsenal MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Gabriel Jesus amefichua kuwa ndoto yake ni kurejea Palmeiras ya kwao Brazil.