Facebook yamponza Flora Mbasha MTANDAO maarufu wa kijamii wa Facebook umemponza msanii mahiri wa muziki wa injili nchini Tanzania, Flora Mbasha, baada ya mtu asiyefahamika ambaye ni shabiki wake kugandisha picha chafu ya ngono...
Bandari, Congo aibu tupu! BANDARI na Congo zimeumbuka kwenye Ligi Kuu ya Kenya wikiendi iliyopita na kila moja imetoa utetezi wake ambao mashabiki wameusikia wakatikisa vichwa. Bandari ilifungwa mabao 1-0 na Mathare huku...
Basata yasitisha matamasha na burudani kwa siku 14 Dar es Salaam. Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) limetangaza kusitisha matamasha na burudani kwa siku 14 kutokana na msiba wa aliyekuw Rais wa Tanzania, John Magufuli aliyefariki dunia Machi 17...
Saa 72 za maombolezo ya Maradona yaanza WAKATI mastaa mbalimbali duniani wakiomboleza kifo cha gwiji wa soka nchini Argentina, Diego Maradona, serikali ya nchi hiyo imetangaza siku tatu ya maombolezo ya fundi huyo wa mpira aliyefariki...
Niyonzima apata ajali Rwanda MWANASPOTI limejiridhisha kwamba kiungo fundi wa Yanga na nahodha wa Rwanda, Haruna Niyonzima amenusurika kwenye ajali ya gari alilokuwa akiendesha wakiwa akirejea kutoka Wilayani Bugesera kuja...
Arsenal wakichangamka wanambeba Hakim Ziyech ARSENAL wamepata matumaini mapya ya kumnasa staa wa Ajax, Hakim Ziyech baada ya winga huyo mwenyewe kuwa tayari kwenda kukipiga Emirates.
Samatta ampigia kura Van Dijk, Ndayiragije kwa Messi Samatta atakutana na Van Dijk aliyempigia kura ya kuwa mchezaji bora wa dunia pamoja na Mane kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, Oktoba 23 ambapo KRC Genk itaanza kwa kuikaribisha Liverpool kabla ya...
De Ligt anakaribia kutua Juventus BEKI, Matthijs de Ligt amedaiwa kuwa kwenye hatua za mwisho kabisa za kukamilisha uhamisho wake wa kujiunga na Juventus baada ya kugomea kujiunga na kambi ya mazoezi ya timu ya Ajax.
FIFA yamfungia maisha bosi wa soka Ghana Shirikisho la soka la kimataifa (Fifa), limemfungia maisha kujihusisha na masuala yote yanayohusiana na soka Rais wa zamani wa Chama cha Soka nchini Ghana (GFA), Kwesi Nyantakyi.
Slot, Mo Salah kumaliza ishu yao kwa mazungumzo KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amefichua kwamba atafanya kikao cha ana kwa ana na Mohamed Salah ili kufahamu msimamo wa mwisho kama atacheza mechi ya mwisho kwenye kikosi hicho cha Anfield.