Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7927 results for Mwandishi Wetu :

  1. Ujio mpya wa Mr Money ngumi za kulipwa duniani

    FLOYD Mayweather Jr maarufu kama Mr Money, ameamua sasa kufanya kweli katika ulingo wa ngumi za kulipwa duniani, akifanya mazoezi ya ‘kufa mtu’ nyumbani kwake huko Las Vegas, Nevada, Marekani...

  2. Kisa Palmer, Manchester United yatajiwa pesa ya kuweka mezani

    Manchester United imeonywa italazimika kuvunja rekodi ya uhamisho ya Uingereza kwa dau la zaidi ya Pauni 150 milioni ili kumng’oa Cole Palmer Chelsea.

  3. Beki Arsenal adai kuna presha ya ubingwa

    BEKI wa boli, Jurrien Timber amekiri kuwa wachezaji wa Arsenal wanaweza kuhisi hali ya wasiwasi ndani ya Uwanja wa Emirates wakati mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England zikiingia kwenye hatua muhimu.

  4. Casemiro ampendekeza Bruno Man United

    KIUNGO Casemiro amemtaja staa wa Newcastle United, Bruno Guimarães, kama chaguo bora la usajili ambao mabosi wa Manchester United wanapaswa kuufanya dirisha lijalo la usajili wakati yeye...

  5. Kocha Chelsea alalamikia kona za Arsenal

    Chelsea iliruhusu mabao yote mawili dhidi ya Arsenal kutokana na mipira ya kona katika kipigo cha 2-1 kwenye Ligi Kuu England , Jumapili.

  6. Neville atoa utabiri mpya Man United

    GARY Neville amekiri kuwa haamini sasa anaitabiria Manchester United kumaliza katika nafasi ya tatu, akizingatia walipokuwa kabla ya Michael Carrick kuchukua mikoba kutoka kwa Ruben Amorim.

  7. Klabu 25 bora Ulaya zilizotumia pesa ndefu kujenga vikosi sasa

    INASHANGAZA kuona kiwango kikubwa cha fedha kinachotumika katika soka siku hizi. Kabla ya kuingia karne ya 21, ilikuwa vigumu kufikiria klabu kutumia zaidi ya mamia ya mamilioni katika usajili.

    VILABU Pict
  8. Ana kwa ana na Wabrazili wa Chelsea wanaogandana muda wote

    Ni wazi kuwa kiongozi wao ni Joao Pedro anapoketi kwa mahojiano, katika mgahawa anaoupenda tangu alipojiunga na Watford akiwa kijana.

    PEDRO Pict
  9. ELIZABETH ILANDA; Riadha ilivyombadilishia maisha, anapiga mzigo, kusoma Marekani

    KULIKUWA na asubuhi za ukungu mzito kijijini Lighwa, wilayani Ikungi, mkoani Singida, Jogoo akiwika, ng’ombe wakitoka zizini na watoto wakikimbia barabarani peku bila viatu kwenda shuleni.

    ELIZABETH Pict
  10. Ukizungumza kwa kujiziba mdomo uwanjani, nyekundu

    RAIS wa FIFA, Gianni Infantino, amefichua kuwa wachezaji wanaweza kutolewa nje kwa kadi nyekundu endapo watainua jezi zao na kufunika midomo wanapozungumza na wachezaji wa timu pinzani.

    NYEKUNDU Pict
Previous

Page 128 of 793

Next