Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1628 results for Daudi Elibahati :

  1. Yanga, JKT zashika tiketi ya Azam CAF

    LEO, JUMAPILI Yanga inacheza na JKT Tanzania mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga huku dakika 90 zikikamilika kutakuwa na mambo matatu yamepatiwa...

  2. Jeuri ya Yanga ipo hapa

    KIKOSI cha Yanga kinajiandaa kuondoka jijini Dar es Salaam leo Ijumaa, kwenda Tanga kwa ajili ya mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), ikiendelea kuupigia hesabu ubingwa wa Ligi Kuu...

    YANGA Pict
  3. Beki Azam aandika rekodi mbili Bara

    BAO moja lililofungwa na beki wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda katika ushindi wa kikosi hicho wa mabao 5-0, dhidi ya Dodoma Jiji, Mei 13, 2025, limemfanya nyota huyo kuandika rekodi mbili muhimu...

  4. Miaka 20 ya Kagera Ligi Kuu Bara, yashuka daraja ikiwa sebuleni

    MWENDO imeumaliza. Ndivyo unavyoweza kusema kuhusu Kagera Sugar, baada ya kuhitimisha miaka 20 ya kuichezea Ligi Kuu Bara kwa kushuka daraja ikiwa sebuleni ikilifuatilia pambano la KenGold na...

  5. Mtibwa ilivyoduwaza, vita mpya imeanza Champioship

    LIGI ya Championship imefikia tamati kwa msimu wa 2024-2025 baada ya kivumbi cha jasho na damu kuvuja kwa wachezaji wa timu 16, zilizokuwa zinapigania nafasi mbalimbali hususani ile ya lengo mama...

    CHAMPIONSHIP Pict
  6. PRIME Ukijichanganya kwa Simba umeumia!

    SIMBA imefunika katika Ligi Kuu Bara. Licha ya kuwa ndio timu iliyovuna pointi nyingi nyumbani kupitia mechi 13 ilizocheza ikishinda 10 na kutoka sare mbili, ikipoteza moja, lakini kuna rekodi...

  7. Kocha Mingange ajivunia Songea United

    KOCHA wa Songea United, Meja Mstaafu, Abdul Mingange amesema licha ya kujiunga na timu hiyo kwa kipindi cha miezi sita, ila anajivunia maendeleo yaliyopatikana kwa msimu huu, licha ya kukiri...

    SONGEA Pict
  8. Straika Mbeya City afichua siri  ya mafanikio

    MSHAMBULIAJI wa Mbeya City, William Thobias amesema haikuwa bahati mbaya kwa timu hiyo kurejea Ligi Kuu, baada ya kushuka msimu wa 2022-2023, kutokana na maandalizi na mikakati bora iliyofanywa...

    MBEYA CITY Pict
  9. Bosi Mtibwa Sugar aweka mikakati mipya

    KITENDO cha Mtibwa Sugar kurejea Ligi Kuu Bara baada ya kushuka msimu uliopita, kimemfanya ofisa mtendaji mkuu wa kikosi hicho, Swabri Aboubakar kueleza sababu iliyochangia mafanikio hayo ni...

    MTIBWA Pict
  10. Tanzania Prisons, Kagera acha tuone itakuwaje!

    UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo kwa mechi mbili kupigwa kwenye viwanja tofauti, huku macho na masikio yakiwa ni kutaka kujua timu gani itaungana moja kwa moja na KenGold kushuka...

    TZ Pict
Previous

Page 2 of 163

Next