Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1030 results for Saddam Sadick :

  1. Kagera Sugar ina mtego wa miaka 21

    WAKATI Ligi Kuu Bara ikirejea tena wikiendi hii baada ya kushuhudiwa viporo vinne vya mechi za Simba vikimalizika, Kagera Sugar ipo katika mtego wa kukwepa aibu ya miaka 21 katika ligi hiyo.

    KAGERA Pict
  2. MBEYA CITY: Safari ya kushuka, kupanda ilivyogeuka pande mbili

    USIYEMPENDA kaja. Ndivyo unavyoweza kuelezea kurejea kwa Mbeya City ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kupotea misimu miwili, huku ikiweka rekodi na heshima jijini Mbeya.

  3. Coastal Union yaishusha KenGold, yatangulia Championship

    Ken Gold imeshuka rasmi Ligi Kuu Bara baada ya kupoteza mchezo wake wa leo dhidi ya Coastal Union kwa mabao 2-1 uliopigwa Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.

    KEN Pict
  4. Frii-kiki zinawavuruga JKT Tanzania

    KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally, amesema ndani ya kikosi hicho kuna tatizo kwa wachezaji wake kushindwa kuzuia mashambulizi yanayotokana na mipira ya kutengwa.

    JKT Pict
  5. Dakika 15 za kibabe Prisons ikiichezesha kwata JKT Tanzania

    Pamoja na kutanguliwa mabao mawili, Tanzania Prisons imetumia dakika 15 kufanya 'comeback' na kuifumua JKT Tanzania mabao 3-2 kuendeleza matumaini ya kubaki salama Ligi Kuu.

    PRISONS Pict
  6. Dakika za jioooni: Tanzania Prisons presha tupu

    PRESHA inazidi kupanda na kushuka kwa Tanzania Prisons kutokana na matokeo iliyonayo katika Ligi Kuu Bara, huku ikitahadharishwa kutojirudia yaliyotokea msimu wa 2010/11 na 2021/22.

    DAKIKa Pict
  7. Chama la Wana lapiga mkwara Championship

    STAND United ‘Chama la Wana’ imesema dakika 90 iliyoiangalia Yanga imeona ugumu ulipo ikieleza kuwa licha ya kuiheshimu lakini haitaingia uwanjani kinyonge.

  8. DAKIKA ZA JIOOONI: Mshale wa saa unavyoikimbiza KenGold Championship

    KATIKA mchezo wa soka, wanasema kosea mambo yote, lakini hakikisha timu inafanya usajili wa maana kwani ukikosea hapo tu, majuto yake ni makubwa zaidi.

    JIONI Pict
  9. Mwanjala arejea MREFA akizitaja Prisons, KenGold na Mbeya City

    Elias Mwanjala amerejea kukiongoza Chama Cha Soka Mbeya (MREFA) huku akizitaja Tanzania Prisons, KenGold na Mbeya City akisisitiza lazima mpira uchezwe upya.

    MWANJALA Pict
  10. Tanzania Prisons yamtibulia Kaseja ikiweka rekodi Sokoine

    Baada ya kusaka ushindi katika mechi nane mfululizo bila mafanikio, hatimaye Tanzania Prisons imeikandamiza Kagera Sugar na kumtibulia rekodi Kocha Juma Kaseja.

    Matokeo Pict

Page 1 of 103

Next